makatapela pasinde
Member
- Nov 18, 2021
- 62
- 66
mmm haya tumemsikia.sasa yeye anasaidiaje ili maji yasipotee,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halina tija kiuchumihivi huyu si ndio aliponda bwawa la nyerere?
Hahaaa!!mfano waziri wa maji kila siku yuko ziarani tu, kupiga mikwara kwa miaka zaidi ya sita sasa, lakini matatizo ni yale yale tu, kila anaporudi tena eneo lile anakutana na tatizo lile lile tena!!!
Wengi wanabuni ziara ili waunganishe safari kwenda kutembelea ndugu, marafiki na miradi yao binafsi.View attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata Mimi mkuu...nmekodi shamban heka nne...nmennua maharage kilo 130 kwaajili ya mbegu ,folier fertilizer Kama tat tofaut, gharama ni kubwa mbaka Sasa...daah na haijashuka Ila sjakata tamaa...ruaha maji yamekauka kabsa yaan daaah nchi ngum sana hiiNmekudiNilikodi mashamba ya kulima iringa nikitegemea mvua...cha ajabu haijanyesha, hii ya mabwawa inamaana sana
Inakera sana... Ukizngatia nmetumia poker money na boom... Daaah nataman kuliaNimeandaa shamba Toka mwezi wa kumi mpk Sasa limejigeuza pori linaloota Bila mvua...
Assad Ni mtu sahihi kwny inchi isiyo sahihi..
WAZIRI WA KILIMO AYACHUKUE HAYA AYAPANGE KWENYE BAJETI YAKE IJAYO.Kumbe anasoma mada zetu humu jukwaani!.
Hili wazo nililitoa wkt fulani hasa kipindi kile cha uhaba wa maji, leo amegusa pale pale.
Nakumbuka siku moja Hayati Magufuli alisimama maeneo ya Bahi akaona maji yanapotea akaagiza Halmashauri wajenge bwawa kubwa pale ili wayavune yale maji yote wakati wa masika na yatumike wakati wa kiangazi; sijui kama walitekeleza.Watu wa Misri, Libya, Tunisia, Morocco wakija tanzania wakaona tuna uhaba wa maji au umeme watashangaa sana tuna akili gani.
Bakshishi tena?Wengi wanabuni ziara ili waunganishe safari kwenda kutembelea ndugu, marafiki na miradi yao binafsi.
Wanasumbua sana taasisi za wizara ambazo zinalazimika kugharamia ziara za mawaziri na kuwaandalia bakshishi
Hujui mkuu?Bakshishi tena?
Bajeti yetu kwa asilimia kubwa inawekwa kwenye mambo ya siasa na jeshi la polisi jwa ajili ya uchaguzi not hii tunayojadili hapa.WAZIRI WA KILIMO AYACHUKUE HAYA AYAPANGE KWENYE BAJETI YAKE IJAYO.
Yep, unaona hata JPM alipata tabu sana kwenye hili kwa watendaji wake. That's why utaona CEOs from private sectors ndio wanapelekwa serikalini kuchangamsha "genge" na sio vice versaInawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Ndiyo maana system ikamtema. Ukiwa na akili kupitiliza serikalini lazima upigwe zengwe tu kuku sidelineHuyu ustadh kichwa sana ana madini sana
Hadi Jiwe alipomuwekea kigingi live. Ujue mtu ukipewa madaraka na unazunguka zunguka na boss ghafla nawewe unaanza kujiona kama boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu jamaa ni political orator alianza kujiona ni President material
Huyu kwangu ndio professor sasa sio yule macho kodo!View attachment 2065770
Wachangamshwe akili kama Kenya hapoIlibidi Hawa jamaa waonje kuwa Chama pinzani walau term moja ya 5yrs akili zingewakaa sawasawa ..nafikiri wamelewa usingizi wa kisiasa mno...