Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
acha kumpa ujiko Mzee Mchonga wewe,Viwanda havikuachwa na wakoloni, vilijengwa na Nyerere, vikauzwa na Mkapa.
Viwanda vile vilitaifishwa na kuporwa na serikali kipindi Cha ujamaa na wakashindwa kuviendesha na vikajifia kifo Cha Mende,hivyo ndivyo nijuavyo
Mkapa aliviuza vikiwa skrepa kitambo,
Prove me wrong!