Karibia kila nchi duniani inazo ndege zake ni nchi chache sana zenye makampuni binafsi na hizo nchi zenye kampuni binafsi wanaufanya usafiri wa ndege kuwa ni kitu cha anasa kweli.Kwasasa sababu ya korona ni kama vile kila shirika la ndege duniani linalia biashara ni mbaya.
Lakin hata kabla ya korona niliona biashara hii tunatumbukiza hela ambako siko. Kwa kujipanga kupi kuliko fanyika? Biashara ya kuendesha kisiasa Na mabavu? Wewe mkuu unafikiri mashirika yetu makubwa ufanisi ni mdogo Na mengine yalikufa kwasababu zipi? Hamna wateja?
Hamna atakayefanya kitu kama hicho. Tuwe wakweli tu. Hatujiulizi kwanini akina KQ wapo tu na hasara zao. Kuna zaidi ya direct revenue kwenye haya mambo.Hata kama hana acc ila aliongea kwenye mkutano leo na kasema ATCL inabidi ifutwe kabisa na midege iuzwe yote.
Where was he? Alikuwa wapi bwege huyu? Ufahamu huu ameutoa wapi baada ya kifo cha JPM? Naye alitolewa jalalani leo hii naye anajifanya yuko fit!Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
HahahUlionawapi marehemu anakufa
Sasa kwani watu kuchangia maji na ngmbe ndo kuonyesha kuwa hakuna kash?Watu wako bado wanachangia maji na ng'ombe kwenye sima kimoja hiyo cash inatoka wapi, wanafunzi darasani wako 100 walimu hawatoshi hiyo cash ya kuchezea inatoka wapi? barabara za vumbi kufika mawilayani, vituo vya afya viko mbali nk na hivyo nilivyokutajia hakuna anayeweza kukukopesha
What's special about marehemu,mtu akishakufa amekufa mkuu..tutamzungumzia vizuri kama alikuwa ni mtu mwema na tutafanya tofauti kama alikuwa ni mtu katili.
Kwahiyo mpo busy kumsimanga marehemu?What's special about marehemu,mtu akishakufa amekufa mkuu..tutamzungumzia vizuri kama alikuwa ni mtu mwema na tutafanya tofauti kama alikuwa ni mtu katili.
Hata kama hana acc ila aliongea kwenye mkutano leo na kasema ATCL inabidi ifutwe kabisa na midege iuzwe yote.
Nya jalalani tu! Alikuwa kajifungia wapi? Tunaanza kuambiwa ni mmoja wa watu walionunuliwa kuandaa mazingira ya ufisadi awamu ya 2.View attachment 1748859
Huu Mwamba! Haujaokotwa jalalani kama yule Mbwiga.
Unauonaje ushauri kuwa huyu bwana apewe Ukurugenzi waTume ya UchaguziNya jalalani tu! Alikuwa kajifungia wapi? Tunaanza kuambiwa ni mmoja wa watu walionunuliwa kuandaa mazingira ya ufisadi awamu ya 2.
HUwa simwamini mtu kwa tukio moja la kujidai alikuwa CAG mzuri. Kikwete alipata umaarufu kwa kujidai kumfuatilia Malima. alipopewa urais akawa bwege, bwege!Unauonaje ushauri kuwa huyu bwana apewe Ukurugenzi waTume ya Uchaguzi
Lini alitow acomment hii, isiwe ni miaka 2 nyuma?Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
Asad ni fisadi tu, akiwa CAG hakukagua nssf wakati wamenunua viawanja kigamboni na kule arusha kwa bei mbaya haijawahi kutokea lakini ali mute, sasa leo anajimwambafai kwa lipi zuri?Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
Mwanamume ni Lissu peke yake na angezubaa baada ya uchaguzi angeuawa na wala haikuwa utani. Huu ni ushahidi Tosha wa ' Nyamaza uishi, piga kelele, kiloba'.Wacha watu watapike watakavyo dhidi ya mwendazake, kwa kuwa alivyokuwa hai watu hawakuthubutu kuyatamka hayo kutokana na jamaa alivyokuwa mlipaji visasi kwa yeyote anayeonekana anampinga kutokana na jinsi anavyoiendesha nchi yetu shaghala baghala
CCM itabaki Maktaba.Unauonaje ushauri kuwa huyu bwana apewe Ukurugenzi waTume ya Uchaguzi