Mkuu punguza makasiriko wewe ni miongoni mwa watu wanaojichukia walivyoumbwa na kuchukia kila kitu maishani, ni mtu ambaye upo tayari kulaumu wengine kwa matatizo uliyojisababishia wewe mwenyewe.Ndio mpunguze kujiita jiwe.
Unataka urudishwe kama wenzio? Sema tu ni wakati wenuNiliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Huyo jiwe amegeuka funza sasaivJiwe alikuwa jiwe kweli kweli...si unaona Prof bado analia machozi ya damu haja-move on πππ
Haha najua hutaamn ila kuna siku nilipishana na huyu Mzee sehem anatembea Kwa miguu ni karibu na kwake mida kama ya saa moja iv.. ....mwamba niliekua nae akaniuliza unamjua huyo Mzee tulopishana nae..nikasema hapana......akaniambia ni prof Assad .......ilibidi nigeuke kutazama vizur ....ndo kugundua n Mzee ..This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Mzee aseme tu alirudia la saba. Tukiwaita "ripita" siku zile. It was a very common practice kwa wakati ule.Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
acha kujichekesha kwangu,wewe ni nani mpaka uwapangie watu wakati gani aongee nini. BTW Assad hii sio mara ya kwanza kuongea hiki,au ulitaka akiongea aje akupe ripoti?Siasa ni mikakati. Assad angetakiwa ayaongee haya wakati Marehemu yupo. Kuongea haya wakati hayupo kwenye Uislamu ni kuonesha woga na unafiq. Pia asipende sana publicity .... Akue.
Uzalendo upi?Assad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
Kidume kilichommiminia mtu risasi 36 then mtu akapona.. naye kuja kuangushwa na tumafua kama tumafua twingine.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kidume hakipo ila watu kawaachia maumivu makali hawataa wapate recovery...ni kulialia mpaka wanakufa nao πππ
Enzi za shetani kulikuwa na muhimili mmoja tu!!wa kwake tu, MUNGU FUNDIProfesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.
Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Icho kidume kilichomuondoa kiko wapi? Only God....Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Chato.Jina la Mussa kalitoa wapi
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Mungu nae hakosei anapiga kichwani tu kama nyuki ,kidume kipo kinawasikiliza wakina kibatala uko hellKidume hakipo ila watu kawaachia maumivu makali hawataa wapate recovery...ni kulialia mpaka wanakufa nao [emoji1][emoji1][emoji1]
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?