Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Wewe ni former beki. 3 wake au mke wake ?Humjui bali unasikiliza anachosema na kuamini
Magufuli alikuwa na roho mbaya Sana, Sasa angalia hapo, inamaana alivunja katiba aliyoapa kuilindaNiliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Hivi alimzika mama mkwe wake alivyokufa, tuanzie hapo? Mtu unamkataza mke asizike mama yake mzazi kwa vile aliolewa na Mkristo!!!
Dikteta lilikuwa na roho mbaya Sana,ndiomaana Mungu akatuokoa na mtu dhalimu,Ni mpuuzi tu
Ngosha alikuwa na roho mbaya Sana, kafa kaiacha dunia na chuki zake kwa wenzieHumjui bali unasikiliza anachosema na kuamini
Hii ni tweet yake 2020Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.
Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Alikuwa na roho kubwa Sana yule mzeeBwana yule hakuwa na haya kabisa kuikanyaga na kuikololea katiba aliyoapa kuilinda
Kama wale wanaojaribu kulazimisha tumuone mtu fulani alikuwa mtu muhimu sana kumbe sisi wengine tunaona alikuwa takataka kuliko kinyesi cha nguruwe.Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Lile zee lilikuwa na roho mbaya Sana, Bora lilivyokufaAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Exactly,alikuwa zaidi ya satanKama wale wanaojaribu kulazimisha tumuone mtu fulani alikuwa mtu muhimu sana kumbe sisi wengine tunaona alikuwa takataka kuliko kinyesi cha nguruwe.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema twende na Asad 2025
Mzee alibeba chuki kwenye moyo wake,ndiomaana ikamuua,ππ Hatimae nchi inaenda bila yeye aliyejiita jiwe, aliyekua anajisemesha eti akiwa hayupo nchi hii itaendaje as if aliiumba yeye nchi hii ππππ
Alimrithi toka kwa mkwere wa kwake ni KichereNi mtu pekee kati ya wateule wa Magufuli aliyekuwa na uwezo wa kumkosoa waziwazi. Hakuwa mtu wa kulamba miguu na hiyo ndiyo sifa ya mwanamume.