Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Sambamba na Hilo kuanzishwe Tume Huru ya Uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwajui ccm wewe, hizo kura za kidijitali zitadukuliwa vibaya mno, ubao utasoma 88% ccm, 12%upinzani.Sambamba na Hilo kuanzishwe Tume Huru ya Uchaguzi
KabisaAssad yuko sahihi
My president is Black- Young Jeezy ft NasCAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa
Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani
Eid al Adh'haa Njema!
Agombee uRais?Agombee yeye tumpigie kura.
Kwahiyo wewe ni mmoja wa hao wake zake wanaoweza kuelewa?Nchi hii punguani inaonekana mpo wengi.
Mtu kama wewe kwa upeo na akili yako ilivyo, huwezi kuelewa logic ya statement ya prof. Assad. Ni wake tu wenye akili inayofanya kazi ndio wataelewa.
😂😂😂Namuunga mkono mia kwa mia, fisiemu wanafanya upuuzi sana kunajisi chaguzi.
Kama vipi tuache kupiga kura wawe wanachaguana tu huko ndani ya chama chakavu.
Hivi Bado ni machungu tu ya kuondolewa USIAJI??CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa
Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani
Eid al Adh'haa Njema!
Kana alikuwa anasema ' it depend' badala ya ' it depends' basi huyo alikuwa anaongea english ya kijijini kwako wala si ya Marekani! Utamsifiaje kwa english chafu namna hii?Huyu mwamba wakati huo Tulimuita MJ Assad pale udsm akiwa kijana mdogo sana
Akiongea kwa besi na sauti ya kujiamini sana
Utamsikia
Debit: Cash
Credit:Credit Machinery Account
Alikuwa msela sana anatembea kwa kudunda dunda tunamuita mzee wa USA na alikuwa anagonga english ya Marekani vibaya sana
Debit and credit has got no meaning but it depend on assumption of the user although all assets have debit balance when they increase
Watu wengi walihudhuri kipindi cha Assad Ac 100 na Ac 101
Wale wazee wa PCM na PCB halafu mnaingia Business ilikuwa raha sana ,umetoka huko hujui Debit wala credit ndio unalikuta kwa MJ Assad(Mus Juma Assad)
Huyu mwamba alikuwa ni Seminar leader chini ya Sister wa kikatoliki akiitwa sister Baptister pale FCM yaani facult of commerce and Management sasa vijana wanaita UDBS
Mwamba akifika darasani anatembea kwa kudunda dunda na sandles kubwa
ASSAD alikuwa msela nondo fulani hivi anaongea kimarekani
Huyu alikuwa mzee wa teknolojia sana na master mind wa excell enzi hizo watu hawajui hata maana ya power point
Miaka inakimbia sana eti leo ni Prof mstaafu wakati sisi tulimuacha Seminar leader pale UD