CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
My president is Black- Young Jeezy ft Nas
 
Nchi hii punguani inaonekana mpo wengi.

Mtu kama wewe kwa upeo na akili yako ilivyo, huwezi kuelewa logic ya statement ya prof. Assad. Ni wake tu wenye akili inayofanya kazi ndio wataelewa.
Kwahiyo wewe ni mmoja wa hao wake zake wanaoweza kuelewa?
 
Namuunga mkono mia kwa mia, fisiemu wanafanya upuuzi sana kunajisi chaguzi.

Kama vipi tuache kupiga kura wawe wanachaguana tu huko ndani ya chama chakavu.
 
CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
Hivi Bado ni machungu tu ya kuondolewa USIAJI??
 
Kana alikuwa anasema ' it depend' badala ya ' it depends' basi huyo alikuwa anaongea english ya kijijini kwako wala si ya Marekani! Utamsifiaje kwa english chafu namna hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…