kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
President analipwa kwa wiki hizo 8.5(mil 9),alikua analipwa kwa wiki kwa kua alikua mwongo sana watuletee mkeka wake ili nawewe usapoti matamshi yakeKama nilisikia vizuri, JPM alisema mshahara wake ni 9m, kutoka 35m ya Mkwere.
Julius naye alishusha mshahara wake, ni bunge ndo liliamua?
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app