Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
unazijua mortuary zilipo na utajiskiaje ndugu yako anatolewa wodini akikokotwa juu ya kitanda mpka chumba cha maiti ambacho kipo zaidi ya mita 300 kutoka wodini. kwangu naona janabi yupo sahihi ni kuweka mifumo sawa
 
Hilo nalo wakaliangalie.mradi tupate mrejesho tu.
 
Mortuary muhimbili iko mbali na unakouguzwa, janabi hataki upitishwe hadharani ukiwa mfu watu wakuone
Mkuu hebu tuelezee vizuri na sisi tulioko mkoani kwani mochwari hapo muhimbili ziko mbali sana na maeneo ya huduma za matibabu ni kwa umbali gani mfano??

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Akili kisoda hana lolote, yaani utoe maiti wodini upeleke mortuary kwa Ambulance ? Duuuuuh hao ndio wasomi. Kwanza Ambulance haibebi maiti ni gari ya wagonjwa labda mgonjwa afe akiwa anawahishwa kwenye huduma.
 
Yaani hao wengine wote waliotangulia hawakuwahi kuona kuwa hii haikuwa sawa? Kulikuwa na gharama gani ya kumtoa mfu kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa gari, humo humo ndani ya Hospitali?

Kwa sababu ukiangalia vizuri gharama yake ni ndogo mno kiasi kwamba hata mtu binafsi tu anaweza akajitolea hela ya mafuta ya kusafirisha watu hao kwa mwaka mzima, na asiji-feel kupoteza chovchote.

Prof. Janabi ameanza na Mungu na Mungu azidi kumbariki AENDELEE NA MUNGU NA AKAMALIZE NA MUNGU
 
Yaani gari itoke kubeba maiti kisha ikabebe mgonjwa kutoka emergence kumpeleka wodini!! Kwa nini kusiwe na magari maalum ya kubebea hizo dead bodies ili kutofautisha gari za kubeba maiti na gari za kubeba wagonjwa.?
 
Kuna watu mnachangia hii mada kwa mihemko tu nenda pale muhimbili kwanza ndio uje kutoa maoni yako hapa,wodi zipo mbali sana na motuari na ilikuwa mtu akifa atasukumwa kwenye likitanda lipo kama friji linapiga kelele mpk kero alafu wagonjwa wakiliona tu wanajua limefuata maiti wanazudi kuingiwa na hofu.
 
Kwanin wanajenga mochwari mbali sana
 
Prof yuko sahihi wodini na mochwari ni mbali ...kusukuma lile likitanda njiani lazima apumzike mara 3 au 4....kabla kuamua jambo watu wamefanya utafiti wa gharama na ufaninsi so tusikurupuke kulaumu laumu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…