ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukatili ,tusikubali huu ushauri wa kihuniView attachment 3069413
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source;
EATV
MY TAKE
Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
Watapoozwa kama marehemu alisema hivo lakini kwa nijuavyo huwa ni Donation hivo ndugu hawatopata chochote. Na kwanini wapate wakati na wao kila mmoja ana figo mbili,hili jambo lina ukakasi kidogo.
Unapochukua Figo ya marehemu alafu ukaitumia kupata hela alafu ndugu wa marehemu mkashindwa kuwapooza hyo sio sawa.mnakuwa mnawaibia.
Atoe pesa kwa marehemu au kwa nani?Anachukua bure hizo figo za marehemu,atoe pesa
Ova
Ni kweli ila kwa ridhaa yako unaacha usiaKawaida mtu mwenyewe kabla hajafa anasema kuwa viungo vyake vitumike kuokoa maisha ya watu wengine. Na hilo linawekwa kisheria. Uhuni unaweza kufanyika lakini si rahisi.
Sasa si mpaka ndugu wakubaliAtoe pesa kwa marehemu au kwa nani?
Na figo hazichukuliwi, zinakua donated na watu wenye nia njema.
Haicbukuliwi kimagendo. Ni lazima marehemu kabla hajafa awe ameruhusu hilo jambo kwa kuandika. Kinyume na hapo ni wizi na kumdhulumu marehemu. Ndivyo wanavyofanya huko mbelehili jambo lina ukakasi kidogo.
Unapochukua Figo ya marehemu alafu ukaitumia kupata hela alafu ndugu wa marehemu mkashindwa kuwapooza hyo sio sawa.mnakuwa mnawaibia.
Ni hiari haulazimishwi. Lengo ni kuokoa maisha ya walio hai.Sasa si mpaka ndugu wakubali
Mbona wanalazimisha ku donate
Kwani wao hapo wanapo toa huduma wanatoa bure
Ova
Vipi wewe ukipata tatizo la figo hutapenda ubadilishiwe?Ukatili ,tusikubali huu ushauri wa kihuni
Kweli mkuu, hawana haki ya kuchukua bila maelekezo ya mwenye viungo au ndugu, vingonevyo ni wizi kama wizi mwingine tu hata kama mtu kafaSasa si mpaka ndugu wakubali
Mbona wanalazimisha ku donate
Kwani wao hapo wanapo toa huduma wanatoa bure
Ova
Ww kwanza unakunywa pombe, unatumia dawa za mitishamba kwa hyo figo zako zinahitaji repair so huwez kuwa donor 😂 labda ww ndo unahitaji usaidiwe figoNAOMBA NIZIKWE NA FIGO ZANGU.
Hao hawajawah kuumwa waacheThis is what I expect toka kwa wabongo. Mnataka organ na huduma bure no wonder hospital zinafungwa kwa kuzidiwa gharama za uendeshaji. Janabi atapiga kelele bure tu.
Ni kweli Bongo hakuna uaminifu watu wataanza kupewa sumu wodini wafe ili wapige dili figoView attachment 3069413
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source;
EATV
MY TAKE
Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
da!!!
Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.
Source: EATV
MY TAKE: Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
Ah kabisa mambo ya kulazimisha kudonate wapi na wapiKweli mkuu, hawana haki ya kuchukua bila maelekezo ya mwenye viungo au ndugu, vingonevyo ni wizi kama wizi mwingine tu hata kama mtu kafa
Wanachukuaje viungo kwa lazima kisa mtu kafa?
Kesho watauwa kisa Figo
Organ donation ni jambo jema na Janabi ana wazo zuri ila kalileta kwenye jamii ya watu ambao bado wako stone age. He's up for an uphill battle.
Mkuu Wala usiende maili buku mbele jiulize tu kwanini damu tunauziwa na Ili Hali Kuna watu wanajitolea Bure kabisaa damu Yao?Hapana sio kwa stone age.......
Sote tunafahamiana namna wabongo tulivyo obsessed na mambo ya pesa na mipango ya pesa.
Inaweza kuwa na malengo mazuri kuokoa maisha ya ndugu zetu wanaougua hayo maradhi lakini.
Ikaaribiwa na wachache watakaoweka mbele maslahi yao
😂😂 kwa jamii yetu ya kipumbavu italeta sokomokoOrgan donation ni jambo jema na Janabi ana wazo zuri ila kalileta kwenye jamii ya watu ambao bado wako stone age. He's up for an uphill battle.
Ndugu Tanzania hii sheria hakuna na kila kitu ni rahisi tuKawaida mtu mwenyewe kabla hajafa anasema kuwa viungo vyake vitumike kuokoa maisha ya watu wengine. Na hilo linawekwa kisheria. Uhuni unaweza kufanyika lakini si rahisi.