T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Unauliza kwa kejeli ila kunywa maji mengi kupitiliza ni hatari kwa afya.Kwahiyo yeye ndio mtaalam peke yake? Ukinywa maji mengi yana shida gani sasa?
Mkitukanwa mnalalamika. Sasa hapo umejibu nini? Nakuuliza tena, yapi madhara ya kunywa maji mengi?Unauliza kwa kejeli ila kunywa maji mengi kupitiliza ni hatari kwa afya.
Kwa taarifa yako kila kitu kizuri mwilini kinahitaji kiasi, sio excess.
Hata Oxygen gas hii tunayovuta nayo haitakiwi kuzidi inabidi ichanganyike kidogo na hewa nyingine. Ukivuta Oxygen ikiwa peke yake 100% unapata Oxygen poisoning na unaweza kufa.
Sasa wasiojua wanabisha na kuleta ujuaji kwenye afya. Professor halazimishi mtu yeye kafanya kazi yake, asiyetaka kufuata aache sio kesi.
Ahaaa fala wewe uliniona??Na unavyopenda kufikishwa
Kg 3 mkuu hadi 3.5Ni uzito upi unafaa kwa mtoto anapozaliwa?
Mtoto mdogo wanaswma anauma zaidikumbe! Mi nilidhani mtoto mdogo hutoka kiulaini, mama akikohoa eeeh! Puchu mtoto anatoka kama mkojo mama haumii
Nyie ndio mkiambiwa mle mavi ya mtaalam mtaamini kwa kuwa mtaalam kasema. Yaani akili zenu ni za kuvukia barabara tu.🤣Acha kubishana na wataalamu madam mwili unatakiwa kubalance vitu unapozidisha au kupunguza kunakuwa na hatari ya kudhurika...
Wahudhurie kliniki,kuna kila kituProf Janabi unatakiwa uelezee aina za vyakula na uzito wa kina Mama na mtoto kwa kuanzia mwezi wa kwanza mpaka kipindi cha kujifungua kuelezea hivi hivi tu bila kutatua tatizo ni sawa na wanasiasa haya tufanyeje ili kutatua hilo tatizo kwa Watoto watakaozaliwa hapo baadae njoo na Suluhuhisho sio vitisho tu kila kukicha...
Unaakisi kiwango chako cha elimuNyie ndio mkiambiwa mle mavi ya mtaalam mtaamini kwa kuwa mtaalam kasema. Yaani akili zenu ni za kuvukia barabara tu.
Hakuna kitu kama hiko. Kwahiyo Mtaalam akikuambia kitu we unatekeleza tu bila hata kufikiria. Haya madhara ya kunywa maji mengi ni nini?Unaakisi kiwango chako cha elimu
Kwa hiyo asieleze ukweli wa kitaalam kisa mnapenda vibonge?Tutaona yeye kama ataishi miaka 900
Katafute wataalam wa lisheProf Janabi unatakiwa uelezee aina za vyakula na uzito wa kina Mama na mtoto kwa kuanzia mwezi wa kwanza mpaka kipindi cha kujifungua kuelezea hivi hivi tu bila kutatua tatizo ni sawa na wanasiasa haya tufanyeje ili kutatua hilo tatizo kwa Watoto watakaozaliwa hapo baadae njoo na Suluhuhisho sio vitisho tu kila kukicha...
vipi miss, we hujawahi kuzaa?Mtoto mdogo wanaswma anauma zaidi
Mlaumu mqmako kwa huo upumbavuKama kawaida Profesa uchwara..hahahahaha
Kiki zina mwisho na mwisho wake ni mbaya...
Maneno mengi kumbe unajifunguliaga zahanati za serikali utaacha kupasuka k?Mabonge huwa yanaslide tu.akiamua kutoka ni fasta.wadogo uchungu mwingi pia wanachana sana sijui kwanini??
We unajifunguliaga wapi?Maneno mengi kumbe unajifunguliaga zahanati za serikali utaacha kupasuka k?
Huna hadhi ya kunidharau.bado sana mkuu pambana ana hali yako mwanzo mwisho.maana wewe ni mshamba tu.kwanza hujui chochote maana maswala ya zahanati za serikali na private hujui ndo maana unadharau.alokuambia kuchanika kunategemea na eneo nani??Maneno mengi kumbe unajifunguliaga zahanati za serikali utaacha kupasuka k?
Achana na watoto wadogo my dear.ukijifungua agha khan ukijifungua kichakani kutoka salama na mtoto ni mipango ya Mungu