Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

Kwani wewe ungependa mtoto mdogo awe na uzito kupitiliza? Kimsingi haitaji taalumu ya kidaktari kujua uzito uliopitiliza ni hatari kwa afya
Watz tukibiwa ukweli tuna makasiriko hadi balaa! Ni ukweli wa kisayansi ambao hata yeye Prof km binadamu si rahisi kuuishi, tumpongeze kwa elimu anayoendelea kuitoa kuna wengi itakaowasaidia!

Kwani kumeza dawa ni kazi rahisi?! 😄
 
Achana na watoto wadogo my dear.ukijifungua agha khan ukijifungua kichakani kutoka salama na mtoto ni mipango ya Mungu
Nimemuuliza makusudi maana najua hajawahi kuingia leba nadhani ni mwanaume angekuwa mwanamke yeyote tena anaye jua Leba basi angejua kuchanika hakuhusiani na mahali unajifungua

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo no siku ya kujifungua,ila kuanzia miezi mitatu inabidi ahudhurie kliniki,kuna kila elimu hatua kwa hatua
 
Wachaga ndio ambao wana tabia ya kuover feed wake zao wanapokuwa wajawazito,sasa atuletee takwimu za kuonyesha kuwa wachaga ndio wanao ongoza kupata hayo maradhi...
 
Nyie mnaocomment negative hamjaenda muhimbili alfajiri kila siku uone mrundikano wa watu wenye matatizo ya moyo na figo wakihudhuria clinic na foleni zake. issue zote anazozisema Dr huwa anaclarify vizuri labda kama mtu unadandia mada ndio utachukulia na kulibeba kama kijujuu.
 
Hao ndio madaktari wa JF ujuaji mwingi
 
Mie nikiwa mjamzito nakula kama kiwavi jeshi tena chips ni kila siku na hua naongezeka uzito wa kutosha lakini watoto wangu hamna aliyevuka 3.3kg. Sijui chakula kinapoteleaga wapi kama anavyosema profesa maana kula hua nakula kweli kweli tena carbs
Kama unakuaga na kisirani au gubu ukiwa na mimba, kamwe huwez nenepa[emoji28]
 
Watu wanvyoendelea kumbishia hivyo,
Ninachompendea Profesa huwa habishani nawajinga, atakwambia tu Gharama za matibabu then ufanye maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…