Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Kwahiyo Janabi hapo alipo anajiona kijana? Eti wote ndio tunaelekea huko kwenye uzee 😀😀

BTW Janabi nilikuwa namuona mjanja kumbe nae anavaa hayo mapete ya Kiswahili? He is cancelled.
Au na yeye yumo kwenye lile kundi la wehu pale mawasiliano ….la Good morning billionairessssssssss😂😂😂 ukute hiyo pete kaipata uko …
 
Tatizo lipo kwenye namna ya kuacha Vyakula vyenye wanga ,ugali,wali,mikate,maandazi,mihogo, ndivyo vilivyo karibu nasi na vinaendana na budget zetu
Tunaachaje Kwa mfano
Kwenye food intake kula nusu ya ugali and then ongeza kiwango cha mboga za majani ambazo hazina mafuta.
 
Weka picha yako na umri wako tukuone, mfananishe na Kikwete tuone kama wanatofautiana sana.
 
Anatuchanganya

 
Huyu jamaa kituko sana...uprofesa wa ujanja ujanja matokeo yake ndio haya..talking cheap issues kwa ajili ya popularity kwa watu wajinga
 
Dada,
Unakuta mtu ameyavaa kama sita hivi, kuna za bahati, mara kufukuza majini, mara za kuita majini mazuri n.k 🤣

Ushamba tu
Maelekezo ya majini hayo!!hao wanalindwa na majini na hayo mapete ni sehemu ya ulinzi na kismati cha pesa!!

Mapete yamesomewa kunuti za kutosha!!hatma ni akhera wote hao huko kuzimu !!
 
Maisha haya hayana formula, kula bata uwezavyo.... mi shahidi kuna watu wanaishi kwa kufuata hayo maelekezo na hakuna matokeo mazuri, hao wanao kiuka wapo fiti balaa
 
Kutembea hatua 10,000 ni sawa na kutembea kilometers 8. Wee kuweza daily?
 
Sema mtu asipokunywa pombe anakuwa na karoho kabaya kamejikunja muda wote korosho ikasome
This is very true,nimefanyakazi sehemu tano tofauti tofauti yaani ukikutana na mlokole au swala tano wanakuwa na roho mbaya SHETWANI anasubiri.
 
Nilikwenda kijiji kimoja kinaitwa Kimara Iringa nikamkuta kaka yake rafiki yangu nilishangaa kuona ni kijana kuliko rafiki yangu
 
Kakosa lishe au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…