Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

He looks very young
 
More like a scaremongering campaign than a health advice.

Yeye na mkewe kama wapo happy na wembamba na kwenye kufikia adhma yao wameamua kutokula aina maana nchi nzima wawe vimbao-mbao kama wao.

Dokta wa hovyo sana badala ya kufundisha watu kula balanced diet na kutoa elimu hiyo yeye kila siku anaambia watu leo wąsile hiki kesho wasile kile; jamaa hovyo kweli.

Worst kwenye elimu yake simsikii akito hata basic knowledge za pathophysiology ya hayo magonjwa anayodai yanasababishwa na ivyo vyakula walau mtu aelewe kwanini vina madhara.

Unamwambia mtu atembee step 10,000 a day at the same time unamwambia asile vyakula vyenye starch, sasa ana burn nini mwilini na hiyo nguvu anaitoa wapi wakati vyakula vyote vinavyotengeneza glucose na kuupa mwili nguvu ushazuia, fatty acids pia za ku-burn hakuna.

Yes hivyo vyakula vina madhara na faida zake pia; muhimu kuelewa ni kiasi gani unatakiwa kula kwa siku sio kuacha kabisa unless tayari una maradhi ambayo ukila hivyo vyakula ni shida.

Useless advice
 
Janabi anaeleweka vizuri kwa watu wa high class life, watu choka mbaya life hawatamuelewa kwa sababu vitu hivyo/vyakula hivyo huvipata kwa bahati/nadra sana, na wakivipata huvifakamia kwa kuvila wakidhani hawatavipata tena kwa muda wote
Hebu fikiria, choka mbaya anatoka mwabepande kwa mguu mpaka kariakoo, hapo tayari ni zaidi ya hatua 10,000
hajaona breakfast na wala hajui kama mchana atauona, hapa tayari amekula kwa kiasi
Sukari ni anaionja kwenye chai ya rangi siku akipata kifungua kinywa
Chokambaya anafiti vizuri kwenye maelezo yake lakini bado mbishi
 
Wabongo hamkopeshi mtu,makavuu live live!![emoji23][emoji23]
 
mzee kapambana mpaka kafanikiwa kubadilisha image yake kwa jamii.

akili mingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…