Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
watu tunakula lunch sahani nzima ya matunda mchanganyiko na tunashiba kwa muda mfupi tu njaa inauma tena. Hawahawa kina janabi wanaona kula matunda mchanganyiko kwa wakati mmoja si vizuri, wanashauri ule tunda moja tu. Kumeibuka wauza matunda kutuchanganyia matunda mengi tofauti katika sahani moja wataalamu wa mambo ya lishe hawataki tule michanganyiko hiyo kwa wakati mmoja wakidai kuna madhara, wanataka tule tunda moja tu, tena kidogo. Ukila zaidi ukajaza tumbo itabidi ujazo wa ziada utoke ama kwa kuharisha au kutapika mwili unataka kile kiasi kinachohitajikaMimi kuna siku nilisema nifuate huo ushauri wa kula matunda usiku nikanunua matunda mengi ya wiki nzima. Cha kushangaza niliyamaliza siku hiyohiyo niliyonunua. Nikaachana na huo mpango.
Naomba hiyo mistari kiongozi.Maandiko pia yanasema starehe ya mwanadamu Ni Kula Na kunywa vingine ni ubatili
Hata kula.lana na mwenza ni ubatili? Mbona nzuri ile?!Maandiko pia yanasema starehe ya mwanadamu Ni Kula Na kunywa vingine ni ubatili
Huyu nae anapenda promo sana. [emoji3][emoji3][emoji3]
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Kweli ukimwangalia Hana afya ama labda ni macho yangu. Lkn Hana afya Janabi
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Ana madini sana ila tatizo lipo kwetu watanzania. Tunapenda dharau na dhihaka kwenye mambo ya msingi.
Ongeza na juice ya Madagascar π π€£Prof Kabudi anakula mara ngapi Kwa siku jamani!
Try to imagine the use of sugar despite of those home stead uses sugar is more than that ingekua kama mnavyoeleza ni kama mtu akigusa sukari tu its boom kesho au keshokutwa tunazika lets use our little understanding kila kitu kina madhari kisipotumika kwa kiwango kinachotakiwaSukari pekee yenye manufaa mwilini ni ile inayopatikana kwenye vyakula vya asili kama matunda, miwa, nk..
Sukari ya kununua dukani ni kama sigara tu, haina faida hata moja, ina madhara tu..
ARE THERE ANY BENEFITS TO EATING SUGAR?
Added sugars don't add any positive benefits to your diet, while naturally occurring sugars are often found in foods that give you the health benefits of
WHAT ARE THE DANGERS OF DRINKING SUGAR?
Frequently drinking sugar-sweetened beverages is associated with weight gain, obesity, type 2 diabetes, heart disease, kidney diseases, liver disease, tooth decay and cavities, and gout, a type of arthritis..
Utapiamlo ama?Kweli ukimwangalia Hana afya ama labda ni macho yangu. Lkn Hana afya Janabi
Huyu ni wewe au nimekufananisha kaka mkubwaππNdio mana amekonda....π
Lakini tuvumiliane tu maana kwasasa nchi haina umeme, sukari wala dola..π’
Lakini nikifuata ishauri wa huyu baba, mwa J anaweza akaniua kitandani mbwa yule kwanza aliniambukiza uti grade one...π€¨
Kusema ukweli sukari inanenepesha.nimejifanyia uchunguzi.Huyu mzee kuna vitu anatupotosha sana binafsi simtilii maanani tangu alipotoa kauli sukari si muhimu
Hujaumwa vizuri kijanaMimi sina tu ila nagonga nyama choma, kula bia, chipsi yaani nakula kitu maswala ya kujibana sitaki mie siwezi ishi milele wala sijui lini nakufa ma vya dunia vyote ni batili tu
Matatizo tuliyonayo wabongo toka tunazaliwa hadi kufa ni diet tosha. Sasa ndiyo ule eti yai kwanza bei ya yai hapo nimeshapata dagaa mchele wa nyumba nzima yai lingine unga wa ugali fikiria tupo 5 zidisha 500 mara 2 mara 5 ni kama 5000. Hapo sijapata nguna na dagaa mchele kweli? tena nashiba vizuri .Tatizo watanzania wengi hali ya mifuko ni duni hatuwezi fata maisha ya wenzetu , mtu unaamaka asubuhi huna pesa hujui utaipata siku hiyo kazi ya kuitafuta pesa yenyewe ni mtihani mzito then unataka nianze panga muda wa kula na mayai sijui juice wakati chai tu ya bila sukari siwezi mudu. Siyo kama hatutaki kula vizuri au kwa wakati
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.