Watu wanapenda,kusikia Yale wanayo yapenda,lakini Dr kwa uzoefu wake katika kada hii anashauri watu kufanya reforms katika maswala ya lishe. Maana mpaka Dr J ameamua kuja na kusisitizia juu ya maswala haya ya lishe ameona kuna mambo yanaweza kuzuilika mapema kama tutaamua kufanya reformation katika maswala ya lishe. Leo tarehe 21 /2/2024 saa tatu usiku utakuwa live TBC watu hawana budi kutenga mda na kumsikiliza.