Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ataishi milele au atakufa na figo nzima au siyo?
Unajinyima weee halafu unakufa kwa ajali ya barabarani.
BTW: Yawezekana hata kule kuanguka kwa JK jukwaani kampeni za uchaguzi 2010 chanzo ni huu ushauri wa Janabi maana alikuwa ndiye daktari wake binafsi.
Ukianza kufanya ' mchujo' mara 3 Kwa wiki utaukumbuka ushauri huu.With all due respect siku nyingine usithubutu kunipa huu ushauri au unaofanana na huu.
Mama Kubwa acha uchawi kwenye maisha yangu.Ukianza kufanya ' mchujo' mara 3 Kwa wiki utaukumbuka ushauri huu.
Uchawi ni Kula hovyo.Mama Kubwa acha uchawi kwenye maisha yangu.
Yeye mwenyewe anaonekana kama ni Mgonjwa tayari.
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Na Mimi nlijiulizaHiyo Pete nyeusi kidoleni, mwa Prof ambaye ni mwanasayansi Ina KAZI Gani?
Wewe Mama Kubwa usidhani unavyoishi wewe ndo watu wengine wanavyoishi. Kama wewe unakula karoti na hoho kama lunch endelea hivyo usilazimishe wengine wawe kama wewe. Punguza ushauri.Uchawi ni Kula hovyo.
Isaya 22:13,mhubiri 8:15,mhubiri 9:7Naomba hiyo mistari kiongozi.
Naomba hiyo mistari kiongozi.
Kwani huyu ni prof wa chakula na lishe au wa moyo? Nakumbuka alikuwa mkuu wa jkci?Profesa yuko hewani live usiku huu kupitia tbc1 kwenye kipindi cha mizani cha ayoub rioba. Mada inahusu utapiamlo na umuhimu wa lishe bora. Anaulizwa maswali ya lishe na anayajibu
Hata kama
Nina kifua kikohozi kimenibana ujue ooohhh.Grade io
Haifichiki