Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Kwa hiyo ataishi milele au atakufa na figo nzima au siyo?

Unajinyima weee halafu unakufa kwa ajali ya barabarani.

BTW: Yawezekana hata kule kuanguka kwa JK jukwaani kampeni za uchaguzi 2010 chanzo ni huu ushauri wa Janabi maana alikuwa ndiye daktari wake binafsi.

Hahah ile ni wazee walimchapa bomu la 'nyuklia'
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Yeye mwenyewe anaonekana kama ni Mgonjwa tayari.
 
ule usile, vuta sigara usivute, lewa usilewe.. Kifo kiko pale pale..
Uache kula Pork kisa suala la afya?
 
Profesa yuko hewani live usiku huu kupitia tbc1 kwenye kipindi cha mizani cha ayoub rioba. Mada inahusu utapiamlo na umuhimu wa lishe bora. Anaulizwa maswali ya lishe na anayajibu
 
Profesa yuko hewani live usiku huu kupitia tbc1 kwenye kipindi cha mizani cha ayoub rioba. Mada inahusu utapiamlo na umuhimu wa lishe bora. Anaulizwa maswali ya lishe na anayajibu
Kwani huyu ni prof wa chakula na lishe au wa moyo? Nakumbuka alikuwa mkuu wa jkci?
 
img_1708897905617.jpg

Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.

Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.

Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea

Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.

Mwisho, prof. Janabi ni bingwa wa magonjwa ya moyo, huku kwenye nutrition anatafuta nn?
 
Back
Top Bottom