Huo ushauri autoao hautokani na utafiti wowote aliofanya. Yeye anabwabwaja tu kama waganga wa kienyeji.
Yeye anatofauti gani na mganga wa kienyeji?
Yeye anatofauti gani na mganga wa kienyeji?
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.