Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Mbona una jaziba wewe?!, kwani yeye kuwa na familia au kuwa kiongozi ina umhimu gn kwenye hizo hoja zake? , tuache kujadili hoja zake kws sababu ni kiongozi na anafamilia!?,huo ujinga wako peleka huko kwa wajinga wenzio.
 
Mtu ni kile anachokula.

Ukila hovyo unanenepa hovyo.

Kuna watu wanakula mithili ya *nguruwe; na hawa ndiyo Janabi anawananga.
Unaweza kukuta mtu kama mzee Warioba anakula kuliko John Komba (RIP), lkn vinasaba vya mzee Warioba vinataka awe mwembamba.
 
Niliposoma neno PICHA nikaja mbiombio nikafikiri ni ile picha nyingine ya chini. Mtoa mada weka picha.
 
Tatizo letu ngozi nyeusi kitu akisema Ngozi nyeupe hakuna kuhoji tunakubali haraka sana, ila akisema mweusi mwenzetu ni tatizo.
Ingia youtube angalia hizi mambo za intermittent fasting zimejadiliwa na kuwa recommended na madaktari wakubwa tu duniani.
Anachokisema Dr Janabi sio kipya mazwazwa mjielimishe kabla ya kupinga kitu.
 
Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.
Janabi tokea kifo cha jiwe na ona kama akili haipo vzr kbs,juzi nimefika ofsini kwake mpk nikashangaa,huo ulinzi woote ni kwa sababu ya nn?!. Ana hofu na nini?!, mie ninamwona kama vile hayupo vzr kbs kichwani.
 
Tatizo letu ngozi nyeusi kitu akisema Ngozi nyeupe hakuna kuhoji tunakubali haraka sana, ila akisema mweusi mwenzetu ni tatizo.
Ingia youtube angalia hizi mambo za intermittent fasting zimejadiliwa na kuwa recommended na madaktari wakubwa tu duniani.
Anachokisema Dr Janabi sio kipya mazwazwa mjielimishe kabla ya kupinga kitu.
Usituseme wote Jibu wengine sisi sio Mapimbi bhana tunaheshimu taaluma za watu bhana...
 
View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.

Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.

Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea

Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.

Mwisho, prof. Janabi ni bingwa wa magonjwa ya moyo, huku kwenye nutrition anatafuta nn?
kwani gari unaliweka mafuta full tank kila yakipungua? Kula mlo mmoja upunguze huo unene, umeambiwa ukila mlo mmoja hutakufa.
 
Prof janabi ukitaka kumuelewa unabidi uwe na ufahamu mzuri

Ukienda YouTube kwenye channel ya muhimbili anafundisha kwa kufata mtiririko mzuri Sana .

So the guy is smart and brilliant

Afya za watu zimeyumba kwa mtindo wa maisha
Bora sahv ajikalie kimya tu
Maana wabongo ni watu much know,
Ping-pinga
Aache tu watu wajilie watakavyo wao
Shauri zao

Ova
 
Tatizo letu ngozi nyeusi kitu akisema Ngozi nyeupe hakuna kuhoji tunakubali haraka sana, ila akisema mweusi mwenzetu ni tatizo.
Ingia youtube angalia hizi mambo za intermittent fasting zimejadiliwa na kuwa recommended na madaktari wakubwa tu duniani.
Anachokisema Dr Janabi sio kipya mazwazwa mjielimishe kabla ya kupinga kitu.
Eti baba level nayo huko anampinga
Janabi,alafu wabongo wanakuambia
Baba level you are so smart kuliko janabi
[emoji1]

Ova
 
View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.

Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.

Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea

Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.

Mwisho, prof. Janabi ni bingwa wa magonjwa ya moyo, huku kwenye nutrition anatafuta nn?
Kwa uchache tu.

Google neno "Atherosclerosis" ndio utajua Prof Janabi ni nani
 
Kwa uchache tu.

Google neno "Atherosclerosis" ndio utajua Prof Janabi ni nani
Kuna visababishi vingi sana vya atherosclerosis, kwann yeye kakomalia msosi tu? After all yeye siyo nutritionist.

Screenshot_20240226-095418.png
 
Unaweza kukuta mtu kama mzee Warioba anakula kuliko John Komba (RIP), lkn vinasaba vya mzee Warioba vinataka awe mwembamba.
Kwa hiyo hivyo vinasaba ndivyo alivyonavyo Janabi?
 
Na Bia moja inywewe kwa Muda wa lisaa limoja.
Na sio dakika Kumi Bia Tano [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mkuu uko sahihi yeye angesema watu wa maofisini tungemuelewa kirahisi mtu uko machimboni unapiga nyundo mwanzo mwisho, uko bandarini unapakia cement ,uko shamba unavuja shasho mwanzo mwisho, ule mara moja kwa cku haiingii akilini afafanue vizuri mie ningemuelewa kama angekuja na ushauri wa kuhamasisha watu wawe na utamaduni wa kufanya mazoezi nchi nzima angeutendea haki huo usoni wake atuache tupambane na hari yetu

Kula siyo tatizo ,inatakia ule proportional ,unaweza kula mara mbili lakini ni Heavy.
 
Back
Top Bottom