Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmemalizaAcheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na nikiongozi na anafamila pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Upo sahihi dr. Anatafuta kiki na anapenda kutrend kama vijana wengi wa hovyo. Anafanya siasa katika udaktari. Bwege sana huyu.Muhuni anafanya Siasa ya Udakitari.
He should shove up his **s huo ushauri mbuzi. Sina kitambi nakula 4 times a day mpaka 5 nina train na nina afya ya kuvutia. Aache uongo kwanza yeye si mtaalamu wa lishe.Mimi kama mtiifu wa ushauri na maelekezo ya Janabi juu ya afya bora, nasema mwacheni.
Sisi wengine anatufaa kwa ‘motivesheni’ anazotupatia.
Huwezi kumkubali Janabi kama una kitambi mpakato.
Za kuambiwa watu tunachanganya na zetu. Anataka ku trend na ana depression. Ushauri akampe mkewe... Hatuwezi kubali kubali kila ujinga ukifungiwa kwenhe kifungashio chenye jina la utaalamu.Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Tatizo la wasomi wetu wakisha maliza kusoma na kupata kazi nzuri. Wanasahau kabisa waliko toka. Hivi mtu anaye fanya kazi za ujenzi na za shambani unaweza ukamshauri ale mara moja kwa siku? Huo ushauri wa Dr janabi ni mzuri kwa watu kama yeye wanaamka saa nne anaoga saa tano anakula kipande cha boga. Baada ya hapo anaingia kwenye V8 kiyoyozi full. Akifika afisini anawasha computer masaa mawili. Kazi Kwisha.View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.
Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.
Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea
Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Hauna picha asiyokula mlo wowote zaidi ya kunywa chai tu asubuhi?View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.
Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.
Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea
Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Huyo daktati ni kimeo.Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.
Kuliko wana Ukoo wako wote?Huyo daktati ni kimeo.
mkuu uko sahihi yeye angesema watu wa maofisini tungemuelewa kirahisi mtu uko machimboni unapiga nyundo mwanzo mwisho, uko bandarini unapakia cement ,uko shamba unavuja shasho mwanzo mwisho, ule mara moja kwa cku haiingii akilini afafanue vizuri mie ningemuelewa kama angekuja na ushauri wa kuhamasisha watu wawe na utamaduni wa kufanya mazoezi nchi nzima angeutendea haki huo usoni wake atuache tupambane na hari yetuTatizo la wasomi wetu wakisha maliza kusoma na kupata kazi nzuri. Wanasahau kabisa waliko toka. Hivi mtu anaye fanya kazi za ujenzi na za shambani unaweza ukamshauri ale mara moja kwa siku? Huo ushauri wa Dr janabi ni mzuri kwa watu kama yeye wanaamka saa nne anaoga saa tano anakula kipande cha boga. Baada ya hapo anaingia kwenye V8 kiyoyozi full. Akifika afisini anawasha computer masaa mawili. Kazi Kwisha.
Endelea kupokea kila kitu bila kuhoji. Itakula kwako.Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.