Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
 
Dr Janabi atakuwa na "DRUM".

DRUM.jpg
 
Mimi kama mtiifu wa ushauri na maelekezo ya Janabi juu ya afya bora, nasema mwacheni.
Sisi wengine anatufaa kwa ‘motivesheni’ anazotupatia.

Huwezi kumkubali Janabi kama una kitambi mpakato.
He should shove up his **s huo ushauri mbuzi. Sina kitambi nakula 4 times a day mpaka 5 nina train na nina afya ya kuvutia. Aache uongo kwanza yeye si mtaalamu wa lishe.
 
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Za kuambiwa watu tunachanganya na zetu. Anataka ku trend na ana depression. Ushauri akampe mkewe... Hatuwezi kubali kubali kila ujinga ukifungiwa kwenhe kifungashio chenye jina la utaalamu.
 
View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.

Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.

Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea

Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Tatizo la wasomi wetu wakisha maliza kusoma na kupata kazi nzuri. Wanasahau kabisa waliko toka. Hivi mtu anaye fanya kazi za ujenzi na za shambani unaweza ukamshauri ale mara moja kwa siku? Huo ushauri wa Dr janabi ni mzuri kwa watu kama yeye wanaamka saa nne anaoga saa tano anakula kipande cha boga. Baada ya hapo anaingia kwenye V8 kiyoyozi full. Akifika afisini anawasha computer masaa mawili. Kazi Kwisha.
 
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.
 
View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.

Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.

Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea

Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Hauna picha asiyokula mlo wowote zaidi ya kunywa chai tu asubuhi?
 
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.

Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.
Huyo daktati ni kimeo.
 
Tatizo la wasomi wetu wakisha maliza kusoma na kupata kazi nzuri. Wanasahau kabisa waliko toka. Hivi mtu anaye fanya kazi za ujenzi na za shambani unaweza ukamshauri ale mara moja kwa siku? Huo ushauri wa Dr janabi ni mzuri kwa watu kama yeye wanaamka saa nne anaoga saa tano anakula kipande cha boga. Baada ya hapo anaingia kwenye V8 kiyoyozi full. Akifika afisini anawasha computer masaa mawili. Kazi Kwisha.
mkuu uko sahihi yeye angesema watu wa maofisini tungemuelewa kirahisi mtu uko machimboni unapiga nyundo mwanzo mwisho, uko bandarini unapakia cement ,uko shamba unavuja shasho mwanzo mwisho, ule mara moja kwa cku haiingii akilini afafanue vizuri mie ningemuelewa kama angekuja na ushauri wa kuhamasisha watu wawe na utamaduni wa kufanya mazoezi nchi nzima angeutendea haki huo usoni wake atuache tupambane na hari yetu
 
Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Endelea kupokea kila kitu bila kuhoji. Itakula kwako.

Nani alikudanganya kuwa kumkosoa mtu ni kumdharau?
 
Back
Top Bottom