Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mkuu, nafikiri umesahau kwamba Profesa Kabudi atakuwa pia amefanya mawasiliano na Umoja House kutaka verifications ya kilichofanyika huko Brussels na masuala mengine
Kabla hajajitokeza tu "out of blue" kuongea, atakuwa amepitia kila kitu.
Huyu ni waziri wa sheria na katiba hivyo si kama sisi hapa wengine wakesha kueneza uongo mitandaoni.
Tatizo ni hao waandishi kutouliza anaposema "wahuni wachache" amaanisha nini?
Cha msingi serikali imeanza kujibu masuala haya khasa uzushi na upotoshaji unaofanywa mitandaoni na hichondicho watu kama mimi hapa nimekuwa nikisisitiza.
Sasa pia watoe majibu kwa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kuanzia kupitia kwenye tovuti ya wizara.
Kabla hajajitokeza tu "out of blue" kuongea, atakuwa amepitia kila kitu.
Huyu ni waziri wa sheria na katiba hivyo si kama sisi hapa wengine wakesha kueneza uongo mitandaoni.
Tatizo ni hao waandishi kutouliza anaposema "wahuni wachache" amaanisha nini?
Cha msingi serikali imeanza kujibu masuala haya khasa uzushi na upotoshaji unaofanywa mitandaoni na hichondicho watu kama mimi hapa nimekuwa nikisisitiza.
Sasa pia watoe majibu kwa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kuanzia kupitia kwenye tovuti ya wizara.