Si Kila profesa ni profesa, wengine ni profesa kabudi.
Huyu ni Mtu anayezungumza hayo pasipo kufahamu/kutambua au kuwa na uelewa wa Kina wa Historia ya Homo Sapiens, Religion/dini, Comparative religion, Ethics (philo+S) na Technology & Uchumii (From thirds world country to first world country).
Anafanya ni Mkumbuke Padre Mmoja katika somo la Religion & bible knowledge Shule ya Upili.. Miaka ya nyuma huko.
Na maswalii kadha wa kadhaa,
1.kuna mgawanyo wa vitabu katika agano la Kale, sehemu kuu nne nazo ni:-
A) vitabu vya Sheria.
B) Vitabu vya hekima,
C) vitabu vya historia..
D) vitabu vya Manabii.
2. Eleza namna kiebrania kinavyoandikwa..
3.Types of sinners,
A)Heart hardened sinner's (Wadhambi wenye mioyo migumu)
B)Self righteous sinners.
C) Complacent sinners.
D) Repentant sinners .
4.let us make man in our own image after our likeness (Gen1:26).
A) identify the speaker.......
B) Give One reason as to Why the speaker used the prural form...
Kabudi kazingumzia pia Ethics,
Ethics/Morals/Maadili ambapo Dini/Religion imejimilikisha kwa Asimilia Mia, ambacho si kitu sahihi/Si fact's, Si kwelii,.
Wanasiasa Wengi hutumia dini kutimiza malengo Yao,
Katika poor country, kama Tanzania, Dini imekuwa faraja na kimbilio kwa Matatizo mengi ya raia, ambayo yangeweza kumalizwa na Uwepo wa uchumii imara/Bora na Elimu ya kiwango Bora.
Finally, God/god's & money na Nations Great great inventions za homo sapiens..
Ni matengenezo/Man made za Human being.