Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Ndo shida kichwani kunapotumika kuhifadhi kinyesi badala ya tumboni.unajikuta una poo kupitia mdomo.
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Fuatilia report zinazotolewa na serikali kuhusu deni la taifaKwahiyo haya madeni yamezuka baada ya jk kuachia usukani
Au ukute wao ndo wanatengeneza hizi trip ili wapige mahelaAu tuwapeleke mabingwa wetu wa sheria, ma PhD holders tulip ambiwa walitiririka vifungu vya sheria kwa mtindo wa Rap kama vile Profesa J au Roma!
Hakika nchi yetu imejaliwa vipaji na elimu hadi nchi zingine zinatuonea wivu na kutufuatafuata.
Hawa ndio magwiji wetu Mkulima hana hamu!View attachment 1270195
Kwa hiyo hapa natakiwa kuwa upande upi? Wa Mkulima au Serikali ya Awamu ya Tano ambayo imenijengea viwanda 1000 huku mkoani kwangu?!
Siyo tu afunge barozi wa Canada ,bali wavunje mikataba yote na makampuni ya Canada,ikiwemo wanyonyaji wakubwa BARICK.Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Zamani mlinunua ndege?Mbona zamani haya mambo hayakuwepo
Mikataba tulisaidia kuidraft wenyewe tena kwa siri kubwa. Hao "mabeberu" sio mabwege. Utakuta contract doc lina pages nyiiiingi na tulivyo wavivu wa kusoma, tunaangalia tu sehemu inayoonyesha amounts na wapi pa kusaini. Huko ndani walikopenyeza clauses nzito na za hatari hata hatupaoni. Sasa thubutu kujaribu kuvunja uone muziki wakeSiyo tu afunge barozi wa Canada ,bali wavunje mikataba yote na makampuni ya Canada,ikiwemo wanyonyaji wakubwa BARICK.
Usaliti una gharama zake nadhani Tundu lissu Hilo analijua Kama Yuko tayari kulipa gharama it is ok