Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Au tuwapeleke mabingwa wetu wa sheria, ma PhD holders tulip ambiwa walitiririka vifungu vya sheria kwa mtindo wa Rap kama vile Profesa J au Roma!
Hakika nchi yetu imejaliwa vipaji na elimu hadi nchi zingine zinatuonea wivu na kutufuatafuata.
Hawa ndio magwiji wetu Mkulima hana hamu!
Hakika nchi yetu imejaliwa vipaji na elimu hadi nchi zingine zinatuonea wivu na kutufuatafuata.
Hawa ndio magwiji wetu Mkulima hana hamu!