minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mahakamaccm ukiidai Serikali huwezi kushinda kesi kamweKipind Hiki Unaweza Kuidai Serikali Ya Tanzania Mahakama Ya Tanzania Wakakulipa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakamaccm ukiidai Serikali huwezi kushinda kesi kamweKipind Hiki Unaweza Kuidai Serikali Ya Tanzania Mahakama Ya Tanzania Wakakulipa???
Ukidaiwa Usipolipa Deni Hakuna Fidia Ya Adhabu??Kutoka million $16 hadi sijui $33 unataka walipe just like that?
Anyway ngoja tuone utaishia vipi
There is something fishy here,haiwezekani mtu ashindwe kesi SA halafu ahamie Canada,anashawishiwa huyu.WanaomDawa ya Deni ni kulipa siyo kupanga mipango Haramu isiyo na Tija kwa Taifa acheni kutengeneza mazingira ya kuwabambikia watu lawama zisizo zao
Ashindane na nani wakati mushatangaazwa washindiChadema badala ya kushiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa, wanashangilia mambo kama haya.
Hivi ujinga huu unautoa wapi,ushinde kesi halafu ulipe,umeona wapi.Ngoja nikuambie,huyu anachochewa.Ngoja tuone mwisho wa haya mambo,ila watu wasije wakalalamika.No body can tolerate this.Why should the government be kept always on the run.mchezo huu wa kutomlipa mkulima Styn unafanywa na serikali yenyewe .... je ? serikali ijishughulikie yeynyewe? zakwako changanya na za mbayuwayu
Kwalipi ulilonalo mzungu anaejielewa akuonee ww wivu unaepiga raiya wako Risasi bila sababuNchi za Africa kufanikiwa kiuchumi ni kwa mbinde sana, wazungu wanatumia jitihada nyingi kuturudisha nyuma
Na huyu mtukufu malaika toka chato kagoma kumlipa kienyeji kwa njia haramu baada ya kumshauriwa na majalala kabudi na Naibu Rais Daud Bashite wakiwa na nia ya kupora ile pesa iliyokuwa akilipwa kwenda kwenye mifuko yao binafsi, mkulima wa kizungu anajua kila kitu kuwa malipo yake yalitoka lakini Kabudi na wenzake wameichukua pesa yakeHahahaaa nachekea uvunguni.
Unaambiwa huyu mkulima baada ya kupokonywa mali zake alifungua kesi akashinda.Na serikali zote zilikuwa zinalipa huyu Mywether kakataa.
Ndo hivo sasa
Mzungu anayo Haki kiukweli lakini badala walipe Deni wameamua kutengeneza Ligi kwa gharama kubwa zaidi ya Deni husikaUkidaiwa Usipolipa Deni Hakuna Fidia Ya Adhabu??
Tusimkomalie Huyu Jamaa Ila Tujijue Sisi Tulikosea Wapi, Na Sheria Zinasemaje, Kama Kweli Jamaa Ni Tapeli Huko SA Na Canada Asingefaulu Kutukamatia Mali Zetu.
Niamini Huyu Mkulima Ana Haki Na Anajua Nini Anafanya Na Sababu Anazo Ndio Maana Kila Anapoenda Anasikilizwa.
Bora imekufa miaka mingi sana tukawa tunasikilizia Bata ya Kenya lakini mpaka sasa vyote havieleweki, sijui tatizo ni nini!Bora!
Kuwateka au kuwapiga risasi ndio mulivo zoweaassadsyria3,
huyo mtu ni king'ang'anizi yyani kashindwa kesi mara mbili zote haoni aibu
dawa ya watu kama hawa ndogo tu
MM NI MZANZIBAR SIYO MTANZANIA KWANI ILIPO UNGANA ZANZIBAR NA TANGANYIKA ILIKUA BABA ANGU KASHAZALIWA NA YUPO ZANZIBAR MWAKA 1959 KWAHIYO MM NI MZANZIBAR SIYO MTANZANIA SIJUI WW UNAE KATAA KUITWA TANGANYIKAYaani wachekelea ? Hovyo kabisa ! Eti na wewe wajiita mtanzania?
South Africa hakushindwa kesi bali Tabia mbovu za kiafrika zilipenyezwa kule Rushwa ikatembea Sheria zikapindishwa ndipo Ndege ikaachiwa, lakini gharama iliyotumika South Africa kuanzia kulipia maegesho ya Ndege kula kunywa kwa kile kikundi kikubwa ni fedha ambazo zingeweza kupunguza Deni kuliko kuendekeza Ligi ya kibabe isiyo na Tija kwa Taifa.There is something fishy here,haiwezekani mtu ashindwe kesi SA halafu ahamie Canada,anashawishiwa huyu.Wanaom
shawishi Watanzania tutalala nao mbele,ila msilalame.
Hakuna ubabe hapa,let us be serious, msishabikie ujinga.Kweli SA Steyn hakushindwa kesi!Nonsense.South Africa hakushindwa kesi bali Tabia mbovu za kiafrika zilipenyezwa kule Rushwa ikatembea Sheria zikapindishwa ndipo Ndege ikaachiwa, lakini gharama iliyotumika South Africa kuanzia kulipia maegesho ya Ndege kula kunywa kwa kile kikundi kikubwa ni fedha ambazo zingeweza kupunguza Deni kuliko kuendekeza Ligi ya kibabe isiyo na Tija kwa Taifa.
Ukishakodiwa na kulipwa unakuwa huna ujanja , ni kufuata maelekezo ya waliokulipa tuNadhani better idea ni kwenda kuandamana ubalozi ambao Mkulima Steyn ana uraia wa hiyo nchi.