Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Hatutakubali !
IMG_20191123_111642.jpeg
IMG_20191123_111638.jpeg
 
Kutoka million $16 hadi sijui $33 unataka walipe just like that?

Anyway ngoja tuone utaishia vipi
Wangekaa chini na huyo mkulima wawe wanamlipa kidogo kidogo kama alivyokuwa akilipwa na mwinyi mkapa Kikwete waache ubabe na za dhuluma za kishamba
 
Kama mngejua ni ndege za watanzania msinge jimwambafai kuwa ndege ni za Magufuli. Lipeni madeni, haya ni matokeo yanayoletwa na Magufuli.

Magufuli anatugawa sisi watanzania, anatuvuruga ili nchi yetu iparanganyike vipande vipande kama ilivyokuwa Rwanda.

Tulipofikia ndio mjue kuwa watanzania hatupo tena pmj. Yaani wengi wa watanzania hawampendi Magufuli, wanaompenda ni wale waliomzunguka tena wanamdanganya kwa vile wanakula kwa mgongo wake.
 
ikamatwe tu, wakitaka waipige mnada kabisa. Yaani uache kufanya mambo yako ya msingi ukasikitikie ujinga kama huo. MATAGA sikitikeni
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 huyu mkulima ni nomaaa,anapenda ndege sana,itabidi tumtengenezee za mabox tumpe labla ataacha kukamata ndege zetu
 
Jamani watanzania huyo si mkulima, atakuwa mfanyabiashara. Wakulima hawa hawa tunao wafahamu sisi ambao ukiwadhulumu wanakuendea kwa babu kukuloga.
Utawala huu una waganga wake kipo kitengo maalum kipo chini ya Daud Bashite kina waganga 65 toka mataifa mbalimbali na mtu anayetumwa kwenda kuwachukua ni Le mutuz, huyo anajua kila mganga mkali popote Duniani.
 
Unadhani hkisikitika kukamatwa kwa ndege ndio unakuwa mzalendo?au ukikasirishwa?Hizi ndege zina mikosi kwa kuwa hazina baraka za wananchi watoa kodi,zina baraka za watawala ambao wanajipigia mapesa huko kupitia miradi bubu kama hii-vagabond.
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 huyu mkulima ni nomaaa,anapenda ndege sana,itabidi tumtengenezee za mabox tumpe labla ataacha kukamata ndege zetu
Utawala huu awamu ya tano ya wasukuma wawili Naibu Rais Daud Bashite na mtukufu malaika toka chato ni waumini wa Ndege na hupata 10% kwenye ununuzi wake ndiyo maana mkulima kalenga huko huko iwe rahisi kulipwa Deni lake
 
Naomba Mkulima Steyn akamate madege yote cuz yamenunuliwa kwa wizi na yanajiendesha kwa hasara!
 
Haya mambo ya ndege zetu kukamatwa sasa yametuchosha, vipi kuhusu usalama wa ndege zetu kutua London?.

Dawa ya deni siku zote ni kulipa, hili la kukamatwa ndege zetu kuna watu wanaliona kama ni jambo la ajabu, lakini kuna watu ndani ya serikali hii hii, walitoa angalizo mapema kabisa kuhusu madeni chechefu, lakini wale wa kujimwambafy wakajifanya miamba na kutia pamba masikioni.

Prof. Kabudi anailaumu Canada kuruhusu ndege zetu kukamatwa, hata zisingekatiwa Canada zingeruka wapi?, wakati watu wana amri halali ya attachment!.

P
Dawa ya Deni ni kulipa walipe Deni waache ubabe na ligi zisizo na Tija kwa Taifa
 
Au tuwapeleke mabingwa wetu wa sheria, ma PhD holders tulip ambiwa walitiririka vifungu vya sheria kwa mtindo wa Rap kama vile Profesa J au Roma!
Hakika nchi yetu imejaliwa vipaji na elimu hadi nchi zingine zinatuonea wivu na kutufuatafuata.

Hawa ndio magwiji wetu Mkulima hana hamu!View attachment 1270195
Hiki kikundi kilitumia pesa nyingi South Africa ikiwemo kutembeza Rushwa hakifai kupelekwa popote gharama zake ni kubwa mara mia kupunguza Deni kuliko kugharamia hicho kikundi kwenda tena Canada.
 
Tatizo deni lenyewe nalo liliongezekea katikati. Na huyo mtu ajafungua kesi Tanzania ya madai serikari imeshindwa kumlipa bali anakimbilia mahakama za kimataifa kwa madai ndani atosikilizwa.

Why so?
Kipind Hiki Unaweza Kuidai Serikali Ya Tanzania Mahakama Ya Tanzania Wakakulipa???
 
Back
Top Bottom