Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

Stupid asshole...
 
Hata wewe ulitoa ushauri kuhusu madeni yale embu weke zile thread zako kama anbavyo huwa unafanya
 
wh
 
Dawa ya deni ni kulipa sio kukimbia na kupoteza muda hakuna hamna wamlipe tu serikali iondokane na aibu hii
 
Mabeberu na michezo yao ya kishetani

Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu


Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Eti Mali zetu! Kwani wewe pia ni mpwa??? Watanzania wanajua hizi ndege zio zao ndiyo maana hata CAG walizuia asikague! Assard ametoka watanunua zitafika mpaka 100!!
 
Leo umeamka kama Pasco.
 
Namtunuku Mkulima PhD ya Falsafa ya umahiri wa kupigania haki zake
 
"Profesa Kabudi amesema kuendelea kwa vitendo hivyo ni hujuma za mabeberu wasiofurahishwa na maendeleo nchini"

Kupitia nukuu hiyo ya waziri, inaonyesha wala hajali haki ya Bw. Styne. Yeye anakuja na sababu rahisi tu ili kumfurahisha boss wake ambaye naye hapendi kufuata wala kuzingatia sheria. Hivi hawezi kujiuliza ni kwa haki kwa upande wa pili wameona inaweza kupatikana kupitia mahakama nyingine za nchi nje zilizopo chini ya madola na wala siyo hapa nchini?

Anapaswa kuwaambia ukweli Watanzania, kuhusu deni husika na hata haki za msingi za upande wa pili ili suala hili lisizidi kutuletea aibu Watanzania. Dawa ya deni ni kulipa, hata Ingekuwa ni wewe unamdai rafiki yako deni la muda mrefu, na kila siku anakulete sababu lukuki za kushindwa kukulipia, kisha unapata taarifa kuwa amenunua gari jipya tena kwa fedha taslimu! Ni lazima utafanya namna ili aweze pia kukurudishia fedha zako,

Hapo hakuna cha hujuma wala mtu sijui kuitwa beberu mwenye kutokufurahishwa na kasi ya maendeleo yetu, zaidi ya kutafuta jinsi ya kumalizana na mwenye kutudai. Kama haki yake ipo na itakuwepo tu, kuzidi kupuuzia haki zake kutazidi kutuletea adha kama hii inayojitokeza tena na tena.
 
Maandamano yote hata ya Hong Kong yanaratibiwa mkuu na kundi fulani
 
Tulifikiri mji mimi wa mahakama Canada upo mfukoni mwa mtu kama ilivyo Bolivia
 
Ikichomwa si ndiyo tutakuwa tumechezea pesa tena?
Na mkulima akishalipwa deni lake ichomwe tuu ama waidismantle hukohuko canada na kuuza vipuri. Tunachezeachezea hela kununua wapinzani
 
Tena wamkamate na huyo Waziri akikanyaga Canada ili yeye na aliyemtuma watie adabu.
Na kituo kinachofata ni Mumbai India.
 
Watanzania tupo milioni zaidi ya 50 tunalipa kodi ili kuleta maendeleo nchini
Tunanunua ndege SGR umeme rufiji nk
Leo unachonganisha eti ndege yetu ikamatwe kama kuna mtanzania anafanya hivyo ni laana tu Lilah
 
Naomba Mkulima Steyn akamate madege yote cuz yamenunuliwa kwa wizi na yanajiendesha kwa hasara!

Mawazo yenu yanawafanya muendelee kupukutika iko siku mtajihesabu mmebaki wangapi kwenye hizo saccos, maana wenye akiri wanawatazama tu wanajiondokea.
 
Watanzania tupo milioni zaidi ya 50 tunalipa kodi ili kuleta maendeleo nchini
Tunanunua ndege SGR umeme rufiji nk
Leo unachonganisha eti ndege yetu ikamatwe kama kuna mtanzania anafanya hivyo ni laana tu Lilah
Hili jambo ni swala mtambuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…