Stupid asshole...Prof. Kabudi inabidi tuangalie upya uhusiano wetu na Canada, a) Watanzania wangapi wanakwenda Canada kila mwaka? b) Canadians wangapi wanakuja Tanzania kila mwaka? c) What are the trade volumes between our countries and d) Uwezekano wa kusitisha diplomatic relations.
As a Country tunatakiwa sasa Kusuka au Kunyoa. Makosa makubwa yalitokea pale walipoilipa ile kampuni ya Sterling kama sikosei kule Canada kwa sababu ile kesi iliweka precedent.
Hata wewe ulitoa ushauri kuhusu madeni yale embu weke zile thread zako kama anbavyo huwa unafanyaHaya mambo ya ndege zetu kukamatwa sasa yametuchosha, vipi kuhusu usalama wa ndege zetu kutua London?.
Dawa ya deni siku zote ni kulipa, hili la kukamatwa ndege zetu kuna watu wanaliona kama ni jambo la ajabu, lakini kuna watu ndani ya serikali hii hii, walitoa angalizo mapema kabisa kuhusu madeni chechefu, lakini wale wa kujimwambafy wakajifanya miamba na kutia pamba masikioni.
Prof. Kabudi anailaumu Canada kuruhusu ndege zetu kukamatwa, hata zisingekatiwa Canada zingeruka wapi?, wakati watu wana amri halali ya attachment!.
P
1⅕Hawa wanyama pori hawatakuelewa mzalendo wetu. Moyoni mwao ni wafu.
Kwa maneno mengine unaweza sema hiyo ni mizoga inayotembea na isiyoweza kuwaza. Ni mazombi hayo.
Thinking capacity yao equetion yake is equal to ZERO. It is a constant funktion:
Y = 0, while X => infinity.
No oscillation on the Oscilloscope.
Maisha yao, yale ya wazazi wao, mabibi na mababu zao, watoto na ndugu zao wengine hayana maana kwao. Maisha ya mabeberu kwao ndiyo furaha.
[/QUOTEwhen there is actions there is equal position mkuu
Eti Mali zetu! Kwani wewe pia ni mpwa??? Watanzania wanajua hizi ndege zio zao ndiyo maana hata CAG walizuia asikague! Assard ametoka watanunua zitafika mpaka 100!!Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Leo umeamka kama Pasco.Hili ni angalizo zuri tena sio tuu waandamanaji wanapangwa, bali hata FFU wanapangwa namna ya kuyasambaratisha kistaarabu kama hivi
PJeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
Wanabodi, Hili ni bandiko la pongezi kwa jeshi letu la polisi. Wewe kama ni mmoja wa wale wenye allergy na pongezi zozote kwa awamu hii ya tano, naomba nikushauri, uishie hapa ili tusiharibiane siku. Nasisitiza, jeshi letu la polisi likifanya vyema, lipongezwe!, hongera FFU kusambaratisha...www.jamiiforums.com
Maandamano yote hata ya Hong Kong yanaratibiwa mkuu na kundi fulaniKuna kila dalili ya waandamanaji wa kukodiwa kuvamia ubalozi huu baada ya kulipwa hela ndogo ( elfu 5 au elfu 10 ) kwa kisingizio cha kushinikiza ndege iliyodakwa kwa sababu ya dhuluma iachiwe , kwahiyo ni vema ubalozi ukachukua hatua za kujilinda bila ya kumtegemea yoyote yule , maana pamoja na kuwepo polisi bado ubalozi wa Afrika kusini ulivamiwa .
Wavamizi wale hawakufanywa chochote na bado wapo na wanadunda , Mratibu wa uvamizi ule bado yupo pia .
Ni hayo tu kwa leo
NB : Hapo chini ni picha za waandamanaji waliolipwa wakipiga kelele kwenye ubalozi wa S.Africa mapema mwaka huu
View attachment 1270738
View attachment 1270739
Tulifikiri mji mimi wa mahakama Canada upo mfukoni mwa mtu kama ilivyo BoliviaHivi balozi anakuwa anafahamu kila kitu au ni baada ya miti kuteleza sasa tunaomba kwa style hiyo, make sidhani kama ni serikali ya Canada ndiyo imeikamata, bali ni mahakama. sasa Hapo hawoni kwamba Muhimili huo utakua unaingilia mambo ya Mahakama au wanadhani ni kama kwetu?
Na mkulima akishalipwa deni lake ichomwe tuu ama waidismantle hukohuko canada na kuuza vipuri. Tunachezeachezea hela kununua wapinzani
Naomba Mkulima Steyn akamate madege yote cuz yamenunuliwa kwa wizi na yanajiendesha kwa hasara!
Hili jambo ni swala mtambukaWatanzania tupo milioni zaidi ya 50 tunalipa kodi ili kuleta maendeleo nchini
Tunanunua ndege SGR umeme rufiji nk
Leo unachonganisha eti ndege yetu ikamatwe kama kuna mtanzania anafanya hivyo ni laana tu Lilah