Kweli tu
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 397
- 448
Bi nafsi kuhuasu hili la madini JPM alifanya vizuri, maana alitetea mali za wa Tanganyika ilhali yeye ni Rais wa Tanzania.
Tuwe wakweli, madini sio mali ya Tanzania/Muungano, bali ni mali ya Tanganyika. Kiuhalisia kuvunja mkataba wa Tanganyika ni hadi Tanganyika mwenyewe, ila kuusaini kumpa muekezaji tunasaini kwa niaba ya wananchi wa Tanganyika.
Kwani serekali haina pesa ya kununua karasha na kuchimba madini yenyewe? Kama uwezo upo wa kifedha kwanini haifanyi?
Mali isiyo ya muungano, ki mataifa huiuzi wewe raisi wa muungano bila makubaliano ya wewe na mwenye mali, utaishia kuuza kwa mwekezaji akupe kesh mkononi. Vipi utamlaumu raisi wa muungano kwa jambo ambalo sio la muungano? TUWE WAKWELI.
Wa Zenji tunawaona wajinga wakidai kero za muungano ziishe na tunawaita wabishi, ilhali wanatutetea.
Ki mataifa wanajua fika kuwa kuna mali za Tanganyika mbali, mali za Zanzibar mbali na Muungano/Tanzania mbali.
Raisi wa Muungano anahisika na mambo ya Muungano, hayo mengine ni sio yake, ila kwa 7bu ukubwa ni jalala sawa na tumtupie tu.
Tuwe wakweli, madini sio mali ya Tanzania/Muungano, bali ni mali ya Tanganyika. Kiuhalisia kuvunja mkataba wa Tanganyika ni hadi Tanganyika mwenyewe, ila kuusaini kumpa muekezaji tunasaini kwa niaba ya wananchi wa Tanganyika.
Kwani serekali haina pesa ya kununua karasha na kuchimba madini yenyewe? Kama uwezo upo wa kifedha kwanini haifanyi?
Mali isiyo ya muungano, ki mataifa huiuzi wewe raisi wa muungano bila makubaliano ya wewe na mwenye mali, utaishia kuuza kwa mwekezaji akupe kesh mkononi. Vipi utamlaumu raisi wa muungano kwa jambo ambalo sio la muungano? TUWE WAKWELI.
Wa Zenji tunawaona wajinga wakidai kero za muungano ziishe na tunawaita wabishi, ilhali wanatutetea.
Ki mataifa wanajua fika kuwa kuna mali za Tanganyika mbali, mali za Zanzibar mbali na Muungano/Tanzania mbali.
Raisi wa Muungano anahisika na mambo ya Muungano, hayo mengine ni sio yake, ila kwa 7bu ukubwa ni jalala sawa na tumtupie tu.