Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

Mikataba inafanana na ile wa yule jamaa wwkala ww ndege aliyetaka kutupiga 100b na raisi wa nchi akasishi kusema mtupishe mambo yakaisha kirahisi hivyo
 
Kwa hiyo anawasema kima Kabudi,ossolo na genge lake?
 
ukweli usiopingika ni kwamba, Waalimu wa vyuo walio wengi hawajui practice ya kazi huko maofisi ya serikali, wao wanajua kufundisha basics tu na ni theories kwa wanafunzi. kwa maana hiyo, uwezo wa mwalimu wa chuo hata kama ni profesa ni sawa na uwezo alionao mwajiriwa fresh from school anayehitaji afanye kazi kwanza kujua mhimili wa ajira yake na namna mambo yanavyofanyika. kwenye suala la sheria, huwezi kumlinganisha kabudi na mtu mzoefu wa sheria kwenye ofisi ya Attorney General au hata wizara ya katiba. hao ndio walitakiwa wapewe nyadhifa za kabudi na wengine waliokuwa wamemzunguka mwendazake. shida mwendazake alikariri kuwa mtu mwenye akili ni mwenye PHD au professa. kumbe hao kile mmoja amespecialise kwenye eneo fulani tu kwenye utendaji kazi wale watu kwenye wizara na vitengo vya serikali waliofanya kazi walau miaka 10 ndio wangemsaidia kuliko hao. alipotoshwa sana, sote tunakumbuka suala la makinikia na barrick; kama kuna miaka watanzania hatutakiwi kuja kuirudia kiutendaji ni miaka ya awamu ya mwendazake.
 
Ili tuendelee, tunatakiwa kuwa serious na maslahi ya nchi kama zilivyo nchi za ulaya. ulaya cheza na vitu vyoote lakini sio pesa ya umma, utakwisha. hapa kwetu mtu anacheza na pesa ya umma na bado yupo kazini, tunataka kumfurahisha nani? mbona kama ni wapiga kura ukifukuza hawa wezi na wararushwa ndio utapata wapiga kura wengi raia huko mtaani wataona unafanya mambo ya maana? tusilegeze sana kamba ama la labda ni kwasababu na sisi tunakula.
 
Muungeni mkono lissu awasaidia sana sisi wengine hatupo tanzania tulifukuzwa kwa sababu ya kuelimisha na kusema ukweli .
Kwa nini unamahaba na mwanaume mwenzio hivyo .Lisu anarikodi gani ya hayo mambo
 
Mikataba aliyosain mkapa na kikwete alishauriwa na nani
 
Hiyo chalinze cement limited ni kielelezo cha serikali yetu isivyo makin failed state. Kama sio huu mparanganyiko wa twiga cement na twiga cement .hiyo chalinze cement Ltd ingekuwa ipo na inafanya kazi .na aina hii ya makampuni hasa kipindi hiki cha samia ndo yanaongezeka kama wawekazaji .na waziri anasimama anasema wawekeAji wameongezaka .poor Tanzania
 
True watanzania wanafiki sana wapo hadi leo kila kitu wwnafsnya kumkomoa marehemu
 
Nani kakuambia
 
Wazee wa kupongeza Bwana!.. mlipongeza kuvunja mikataba leo mnageuka daaah....
 
Mikataba inafanana na ile wa yule jamaa wwkala ww ndege aliyetaka kutupiga 100b na raisi wa nchi akasishi kusema mtupishe mambo yakaisha kirahisi hivyo
Huyu anao mtindo wake wa kuwahujumu waTanzania, mtindo unaoudhi kwelikweli. Anatoa vimanenoneno tu visivyokuwa na maana yoyote mradi asikike, huku hafanyi kitu.
 
Uanjua sheria ya ardhi lakini tena kwa mujibu wa katiba huyo mwekezaji alikuwa anamwekeza nini mpaka ardhi ikachukualiwa .mbona sheria ipo wazi tu kama haujaendeleza ardhi .inachukuliwa .
Ni kweli... Sasa wanasheria wetu mbona wameshindwa kesi?

Unakuta unampa mwekezaji ardhi na mnapeana mikataba... Lakini kipengele cha kutokuendelezwa hakiwekwi makusudi...
Mkienda arbitration za kimataifa tunapigwa
 
Hii akaunti ipo hacked mkuu? Mbona sio mkandara yule wa 2013? Kwamba una data za wote waliochanja kuwa hawaoni hedhi? Mimi wadogo zangu wawili wamechanja pamoja na mzee wangu huko bushi ila sijaona aliye na tatizo lolote mwaka wa tatu Sasa. Hizi mis information unazitoa wapi?

Kingine hii tabia ya "watu wanadunda" mnaitoa wapi? Mtu kutokujua status yake kiafya haimaanishi ni mzima. Mfano mtu ana ukimwi ila hafahamu ila sababu anadunda tu na hatumii ARV basi ni shujaa? Kwa mentality hii utakuta watu wanatembea na magonjwa ya kutisha alafu mwisho wa siku wakifa kwa ghafla tunaanza sema ni hujuma za wazungu!!

So low from a GT of your calibre
 
Hahahaha, yule yule umjuaye. Nitakujibu kwa wepesi kabisa. Nina mke na watoto watatu wa kike ambao wote wana marafiki wa kike. Malalamiko yao nayasikia na hakuna wa kuwasemea.

Ukimwi hauna chanjo, hizo ARV ni kuzuia tu kusambaa lakini mgonjwa wa Ukimwi anao na anaweza ambukiza. Covid hata kama umechoma kinga bado unaweza kuipata na ukafariki. Hoja yangu ni Kinga sio Covid -19 (SARS)

Kuhusu kudunda mkuu wangu sote tunajua Covid haina dawa wala haicheleweshi. Kama watu mil. 60 wapo hai leo hii baada ya miaka mitatu. Utasemaje? Kudra ya Mungu? Sijasema ugonjwa haupo ila nasema hivi siamini hizo kinga zao.

Kifupi, Chanjo za Covid zilikuwa biashara na wao wanajua maana mpaka leo hii zipo booster 5 yaani hata kama ulichanja zile 2 au 3 bado haupo salama. Na hii ya 5 pia bado wanasema sio guarantee. China wamepigana na Ugonjwa huu kwa kila mbinu mpaka wamerudi kwenye virutubishi vya kienyeji. Ina fact wao na Japan wametumia zaidi mimea ya asili kuzuia SARs maana Covid sio geni kwao.

Hao Wasomi wenyewe walichanganyikiwa wakalazimishwa kukubali. Marekani yenyewe kuna States nyingi tu watu hawakuchoma wala lazima kuvaa barakoa, Texas mojawapo! Je, uliambiwa na vyombo vya habari? Hiyo Marekani ni state ngapi hazikujifungia? Na kwa nini wao watu walisafiri toka state moja kwenda nyingine bila chanjo?

Nasema vitu kwa sababu navijua laa siwezi kuchukua maneno ya mtu au watu. Huwa nina mitazamo yangu kwa yale nilopitia, hata kama itawakwaza wengine lakini ninao Uhuru wa kujieleza - Ni haki yangu.
 
Kitila atokee aseme alimaanisha nini, zaidi ya hapo hizi Spinning ya neno "Shujaa" linachafua zaidi. Kwani naamini haikuwa dhamira yake na wala hakuwa anambeza Hayati Raisi.

Uje uwasaidie wenzetu na Lugha.
 
Hii kuna mapunga yanayo amini kauli hizi!, huyu kitila si ndiyo alirudisha kadi ya ACT na kulamba kopo asali uwaziri, ujue hawa wanasiasa wanatuchezea sana akili. Ingekuwa amri yangu ni kuwatandika bakora kiumbe yeyote anayejiita mwanasiasa. Nina hasira nao hawa viumbe ☹️☹️☹️
 
Kwa nin tusipambane na hao Waliongia mkataba wa kihuni kwanza
Una akili Sana Mkuu. Tulitakiwa kuanza nao. Lisu alimwambia magu walioingia mkataba wapo. Tuanze nao Kama kweli tupo na Nia ya dhati kukomesha walaji serikalini
 
Madili ya watu tu sawa tu kama vile ndege ilivyowahi kukamtwa South Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…