Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

Hizo dolla mllion 760 uliziona au umesikia ww makapuku na wew ukapayuka , kama kasuku wa shamba porin .wawekazaji Katu huwa hawasemi ukweli has kww nchi ya Dunia ya tatu ambopo swala la uwazi ni F .kampuni inatumia 80m usd inarekodi kwenye vitabu 800m usd
 
Lisu unanpenda hee huyu ndo mwanasheria pekee anarikodi gan kwenye haya mambo au ndo Lesbia mwenzenu maana hamuachi kumtaja taja kila kona
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Si bora ungesema zote hauzifahamu kuliko kudanganya ungepungukiwa Na nini kiongozi
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ukimsikia kwa makini Prof Kitila kazungumzia toka mfumo wa zamani, kuja kati miaka ya 90 na saaa hivi tuko wapi na tunatakiwa tufanye nini. Hizi kesi 3 za madini kati ya kesi 7 zipo mahakamani.

Tumefuta liseni za Uwekezaji kutokana na hitilafu za mitakaba yenyewe. Makosa yalifanyika kwenye mikataba na sii hatua tulochukua. Ushauri ulikuwa mbovu toka mwanzo wa mikataba hiyo.

Kesi zipo mahakamani bado, haina maana makosa yalifanyika ikiwa lengo ni sisi wenyewe tunataja tumiliki madini haya yalotajwa, tume.makini sana hapa.

Na kapendekeza turudi katika mfumo wa zamani kuhakikisha sisi wenyewe ndio tunamiliki madini hayo. Mbunge nd. Muhongo pia ameishauri serikali vivyo hivyo.


Hizi Kesi zitatuumiza lakini haziwezi kutuzuia kabisa kuacha njia yetu kwa sababu tutapoteza mabillioni ya Usd kwa kuogopa kesi kadhaa.

Angalizo hapa ni tujiandae maana kuna vita kubwa ya Madini inakuja, wataalam wetu wamshauri vema rais (tahadhali ya vita ya madini) wasimshauri ili kumfurahisha wakati sisi tutaumizwa kwa kuweka mikataba mibovu.

Mama mgeni katika mambo na hawa wataalam wa sheria ndio ngao na tegemeo letu, wamshauri vizuri sii kutaka kumfurahisha ili yasije tokea ya nyuma..

Kwa mtazamo wangu, inabidi mtu umsikilize kwa makini sana Prof. Kitila toka mwanzo ukifuatia record yake akiwa Chadema kuhusu msimamo wake juu ya madini (Liganga na Mchuchuma)

Maasalaam..
 
Mtanikumbuka

Wakati ushauri mbaya unatolewa yeye alikuwa ACT Wazalendo?
Huyo ni mnafiki Mwandamizi amesahau kuwa anaUbunge wa kupewa! Subiri ije 2025 hatathubutu hata kugimbea udiwani...labda mama Ampe tena!
Ninjeri wangetubu ...watuambie ukweli kuwa waliishinkinafiki na kizandiki mbele za JIWE ..badala yakujifanya wanakosoa .Hayo yalikosolewa na Wazalendo wengi lakini wao waliufyata !
 
Ubarikiwe.
 

Hoja yako ni nini hapa, au ukweli umekuumiza hadi hujui useme nini? Magufuli alikuwa na pupa za kijinga na haya ndio matokeo yake.
 

Yeye Magufuli aliweka mikataba wazi kwakuwa alikuwa na uchungu na mali za watanzania?
 
Ndege si zilikamatwa wakati akiwa hai madarakani, au unajizima dat?
 
Wabaya wa Tanzania sio makampuni ni watanzania wenyewe,umshitaki mtu ambaye bado unamhitaji kuchota Mali kwake na kuneemeka!!!mwenye kichwa kibovu ndo anaweza kuamini. Wapo watanzania nyuma ya haya makampuni .
Kabisa..na inasikitisha kuona watu wanashangilia taasisi yenye maazimio mazuri kufeli... Nazidi kuamini ngozi nyeusi Ina matatizo
 
Jibu ulichouliza sio kujitungia swali na kujijibbu unavyotaka
Mkuu huyu huwa na madini, ila likija kwenye suala la Mwafrika kufanya maamuzi yake yeye huwa anakasirika na kuanza kutupa vijembe. Ukifuatilia uwasilishaji wake na mtiririko wa Uzi huu kama mada inavyoelezea unategemea kusikia au kuona majibu yanayokuwa na mtazamo wa Kuwa...Viongozi huwa wanalaghaiwa- lakini hilo sio iliyokuwa lengo lake- nasema kwa Uhakika! Anajua fika Mada yake inamgusa moja kwa moja Hayati Magufuli na anajua fika kuwa mashauri anayodai Kitila yana Ukweli ila yeye hataki huo ukweli kwani inaosha na kuondoa madoa wanayomwekea Hayati kwa lengo Kuu ambalo ni kumchafua na kuonyesha kila Jambo lililotokea kwenye Utawala wake alilifanya au kuagiza lifanyike, Lilikuwa halifai kwa Taifa au Kimataifa Kiufupi, wanadai hayati Rais J.P.M alihusika peke yake. Sasa utaona kuwa, kwa kipindi kifupi kumetokea vitu Vinvyoondoa madoa hayo na kuwafanya hawa wenzetu humu kuonekana ni wadanganyifu()mfano:kuhusu COVID 19, au hapa Kuwa Hayati alipata mashauri mabaya au kudanganywa. Haya mambo yanawachafua EGO zao na pale wanapopata mwanya wa kuendeleza uwongo(kumbuka hawa ni Spin Doctors) basi watafanya hivyo na ndio maana hawajibu kulingana na mada bali kile wanachotaka umma uone. Na ndio huko..."
kujitungia maswali na kuyajibu Wanavyotaka
Alimradi machafuzi yanaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…