Ilikuwa lazima Magufuli kwa nchi za Magharibi kumkwamisha kwa njia zozote aidha kwa vikwazo ama sababu nyingine yeyote haswa baada ya kuwakwamisha Barricks na wawekezaji wengine katika Madini. Magufuli alikuwa MWIBA kwao na bahati nzuri kwao JPM alikuwa na maadui ndani ya nchi.
Hawakuwa na njia bora zaidi ya kumkwamisha isipokuwa hiyo ama kumuondoa kabisa madarakani kwa sababu walijua kuna uwezekano mkubwa akatawala miaka mitano mingine.
Kama walivyoondolewa kina Lumumba, Nkurumah, Sankara, Ghadaff, Magufuli pia ilikuwa LAZIMA..