Uwezo mdogo.Tunajua kusifiana tu.Yaani kampuni inawekeza bili 600? Hii hela serikali ingeshindwa kuweka??
Wewe ajuza umeelewa lakini? udini unakutesa snMmewacha hoja mnamvaa mtowa hoja?
Msifuni mama Samia kwa hili, msiome haya.
Mshangazi wewe unatumia akili kuona mambo kwa upeo. Hii ndiyo maana ya kuwa mshangaziUgongwe leo uzae leo?
Vuta subira kwanza uone subira anavyovuta bangi.
Tunapewa kwanza chipsi yai.
Kisha mimba
watu hatukupinga DP world, tulipinga mkataba. hivi hawa wana akili kweli? kwa hiyo hata kama mtu anafanya vizuri ndio mkataba uwe mbovu upande wetu? ikitokea kesho akafanya vibaya utamfanya nini? hawa wanatuona watz wajinga sana ujue.My Take
Kwenye suala la uwekezaji wa DP World Bandari ya Dar,Rais Samia alikuwa mbele ya muda ππ
View: https://www.instagram.com/p/DB0pZv_KOQh/?igsh=MWZmdHIzeTJocTlveA==View attachment 3140463
View: https://x.com/Jambotv_/status/1851941145787437497?t=nUzmr4fPjScQ1V504xFi2A&s=19
Kwa hiyo hujui kuwa kipengele kipo, umeambiwa tu kipo?Niweke kipengele ambacho ni Siri? Waliosaini ndio walituambia kunayo hiyo section.
Nchi hii ni ya hovyo sana! Profesa mzima anakuwa chawa kama Mwijaku?The Big Chawa kwenye ubora wake.
Nchi hii Ina mafisi maji wengi sana!watu hatukupinga DP world, tulipinga mkataba. hivi hawa wana akili kweli? kwa hiyo hata kama mtu anafanya vizuri ndio mkataba uwe mbovu upande wetu? ikitokea kesho akafanya vibaya utamfanya nini? hawa wanatuona watz wajinga sana ujue.
Kwa sababu vipengele vya mikataba hawezi ona Kila mtu nadhani taratibu unazijua.Kwa hiyo hujui kuwa kipengele kipo, umeambiwa tu kipo?
Mpaka hapo huoni tatizo bado?
Prof Kitila aje Mbeya Vijijini tumpe Ubunge 2025 ππππ Tumechelewa mno
Mbeya Haina utaratibu wa kuokoteza wagombea,Njezya anatutoshaProf Kitila aje Mbeya Vijijini tumpe Ubunge 2025 ππππ Tumechelewa mno
Kwa sababu hajakubali null hypothesis yakoProf mjinga kabisa kuwahi kutokea
ππππMbeya Haina utaratibu wa kuokoteza wagombea,Njezya anatutosha
Hatuokotezi wagombea,hao uliowataja ni vikaragosiππππ
Mbeya hiyo hiyo ya Sugu na Mwamposa?
Hata Rais wa IPU? πππππ₯Hatuokotezi wagombea,hao uliowataja ni vikaragosi
wewe umenufaika na nini tangu DP World wameingia?Kwa sababu hajakubali null hypothesis yako
Sugu anapita kama mshaleMbeya Haina utaratibu wa kuokoteza wagombea,Njezya anatutosha
Huyu ndiyo takataka kabisaHata Rais wa IPU? πππππ₯
Nchi inanufaika wana siyo lazimq mimi. Ile ni macro economic variable siyo microeconomic. Ukisubili unufaike wewe kama wewe utasubili sana. Fursa ifate siyo ikufate wewewewe umenufaika na nini tangu DP World wameingia?