sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Kwa ujio huu
Sikuamini macho yangu,lo Professor tumekuona.Cha ajabu yalikuwa maadamano lakini sijui nani alikuombea kibari,au wewe unaruhusiwa huna mpinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ujio huu
Mhhh mkawadanganye haohao mazu.zu kwa vile hakuna siri chini ya jua time will tellsafi sana prof.lipumba, pangua wote wasio na uchungu ndani ya chama!
Tufanye unachosema ni sahihi je Kwa miezi kumi ambapo hakuwa anafanya kazi alitegemea nani alikuwa anamfanyia kazi zake.Inaonesha hqtq utaratibu wa kujiudhuru huujui,,lipumba hakutimiza vigezo vya kisheria vya kujiudhuru
Nani kaiua ...acha wafu wazikaneDu!
Naona wameamua kuiua CUF. Katibu mkuu huwa anateuliwa na Mwenyekiti, kwa mantiki hiyo Lipumba anauwezo wa kumsimamisha Maalimu Seifu....
Nenda mbali na kumshangaa huyo jajijechaccm no.2. CUF iko ktk wakati mgumu sana. Soon inapasuliwa kwa nguvu za dola itakayotumiwa na ccm.Mimi sasa hivi simushangai prof Lipumba kwani ninajua amechanganyikiwa,ninaye mshangaa ni huyu mtu anayejiita jaij mtungi kuhalalisha shudu kuwa mbegu.
Hivi tofauti ya wafuasi na mashabiki ni nini?
Hatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...
Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...
Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao
Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Mkuu The Boss, nimekuelewa kadri ya uelewa wangu, na bado ninakudai utuwekee hapa hayo 'madai' ya wafuasi wa Lipumba dhidi ya Seif na Mtatiro...
NCCR -MAGEUZI ya Mrema in the making ingawa kwa staili tofauti!
Prof ana wafuasi wengi sana, kuanzia kwa mkulu wa nchi mstaafu adi wa Ngosha, apo achana na majaji, mapolisi na msajiliNiliwahi kuuliza humu CUF Lipumba yuko peke yakeau ana wafuasi?
naona kumbe kina Mtatiro hawajui wanachofanya
Halafu Mtatiro nae kahamia Zanzibar?
Kwa mwendo huu hatutakuja kuiondoa CCM Lipumba anashiriki kikamilifu kuwagawa wanachama ili CCM itereze bila kikwazo,namchukia sana huyo kibarakaNahisi umeya wa Ubungo na Kinondoni kuludi CCM. Mission complete chezea ccm wewe mahesabu ya mbali kabisa mkishtuka tayali zamaani wamemaliza michezo