Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big up prof pambana na mamluki wa chadema.Duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Mwehu[emoji90]
Afukuze na wabunge walio patikana wakati amekimbia chama. Kama hajui jiulize TLP na UDP Viko wapi?Big up prof pambana na mamluki wa chadema.
Huyu jaji ni kibogoyo yuko pale kimkakati kuakikisha vyama vya siasa vinakufaMimi sasa hivi simushangai prof Lipumba kwani ninajua amechanganyikiwa,ninaye mshangaa ni huyu mtu anayejiita jaij mtungi kuhalalisha shudu kuwa mbegu.
Mkuu The Boss, Zanzibar ndiko kuna wabunge wengi wa CUF, idadi ya wabunge ndio inayofanya chama kipate ruzuku kidogo au nyingi. Lipumba anastahili lawama katika kuifanya CUF isiwe na wabunge wengi bara, anataka kuwatumia wafuasi wanaomuunga mkono kuficha udhaifu wake. Maana yake ni kwamba kule Zanzibar CUF wanapiga mzigo kwelikweli, tofauti na huku bara ambako Lipumba amekuwa akisaidia CCM tangu muda mrefu badala ya kupambana kwa ajili ya CUF. Unaweza kukumbuka kwamba ni Lipumba alitumia msikiti kuwashawishi Waislamu wampigie kura Kikwete (CCM) kuliko kuiingiza madarakani Chadema chini ya Dk Slaa katika uchaguzi wa mwaka 2010. Tungeonyeshwa kama mfano suala moja tu ambalo Seif "alilitolea sauti ya mwisho" tungeweza kuchangia kwa upana kidogo. Lipumba na wanaomtuma wanafahamu misimo ya Mtatiro, na usishangae kuona Lipumba inafikia mahali analindwa na bunduki ambazo zimenunuliwa kwa kodi zetu, kuharibu taswira ya upinzani! Nadhani umma sasa usimame kumkabili Lipumba, huyu Lipumba wa kuanzia 2010 ni hatari kwa upinzani hapa nchini!Madai yao makuu wafuasi wa bara ni chama kujali siasa za Zanzibar zaidi
kutojali yanayotokea huku bara
hadi ruzuku na rasilimali kutumikia Zanzibar zaidi......
ni kama wabara wanaburuzwa...Seif kuwa kama ndo mwenye sauti ya mwisho kuliko yoyoye...
na sasa Mtatiro ni kama anatumika kuwa kibaraka....
Hongera sanaa Profesa lipumba fukuza hao wasaliti wote ndani ya CUF! MTATIRO na MAALIM wamelikoroga waacheni walinywe utashirikianaje na Dikteta Mbowe na FIsadi nyangumi LowasaHatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...
Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...
Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao
Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Mkuu The Boss, Zanzibar ndiko kuna wabunge wengi wa CUF, idadi ya wabunge ndio inayofanya chama kipate ruzuku kidogo au nyingi. Lipumba anastahili lawama katika kuifanya CUF isiwe na wabunge wengi bara, anataka kuwatumia wafuasi wanaomuunga mkono kuficha udhaifu wake. Maana yake ni kwamba kule Zanzibar CUF wanapiga mzigo kwelikweli, tofauti na huku bara ambako Lipumba amekuwa akisaidia CCM tangu muda mrefu badala ya kupambana kwa ajili ya CUF. Unaweza kukumbuka kwamba ni Lipumba alitumia msikiti kuwashawishi Waislamu wampigie kura Kikwete (CCM) kuliko kuiingiza madarakani Chadema chini ya Dk Slaa katika uchaguzi wa mwaka 2010. Tungeonyeshwa kama mfano suala moja tu ambalo Seif "alilitolea sauti ya mwisho" tungeweza kuchangia kwa upana kidogo. Lipumba na wanaomtuma wanafahamu misimo ya Mtatiro, na usishangae kuona Lipumba inafikia mahali analindwa na bunduki ambazo zimenunuliwa kwa kodi zetu, kuharibu taswira ya upinzani! Nadhani umma sasa usimame kumkabili Lipumba, huyu Lipumba wa kuanzia 2010 ni hatari kwa upinzani hapa nchini!