Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Kinachonisikitisha ni furaha waliyonayo CCM dhidi ya huu uhalifu unaofanywa na MUTUNGI wakishirikana na LIPUMBA.

Kweli dunia haina haki...!
VP, umepeleka mifuko 400 ya cement kwa gharama za mamilioni ya msafara uliokwenda kwa ndege! Ha ha ha ha siasa za Maji taka bana!
 
Du, kazi ipo
Hapa yaonekana ni mundu kwa mundu yale ya honorable Namwamba wa Kenya!!!! very soon mtaona mwenyekiti wa cuf wa mahakama(msajili wa vyama vya siasa) na mwenyekiti wa sanduku la kura( through ballot box).
 
Watu wengi wanapenda kufanya mambo kihisia tu
hawataki kutazama reality....Lipumba hata kama kanunuliwa na CCM..
akiweza kuwa na wafuasi tu basi ni tatizo
siasa ni watu na sio sheria...
Kama unakumbuka kwenye ule mkutano uliovunjika ilipigwa kura kama Prof. aendelee au vipi (kitu kama hicho). Kura nyingi zilizopigwa zilimkataa, waliomuunga mkono ni kama 14 lakini kulikuwa na kundi kubwa ambalo lilikataa kupiga kura. Hii kwangu naisoma kuwa hao wako nyuma ya Prof. Na inavyoelekea wengi ni wa bara na hivyo hivyo wasiomkataa wengi ni wa ZNZ. Ikitokea kila upande una nguvu basi - na naaamini ni hivyo CUF inatatizo kubwa. Bila kupatanishwa chama kinaweza ku-split. Ni wazi CCM watafurahia na kuchochea mpasuko utokee na UKAWA watakua hatarini. Mambo yakiharibika UKAWA (CDM, NCCR, na NLD) itabidi waamue waende na nani. Kwa siasa za sasa hivi huenda wakaenda na CUF zenj na kukawa na uhasama na CUF Tanganyika. Tuombe yasifike huku upinzani ukizorota ............
 
Next move Lipumba atamtimua Seif. Kama mwenyekiti wa chama uwezo wa kumtimua katibu mkuu anao eg Mbowe vs Slaa/ Zitto.

Mwenyekiti wa CUF ya Wapemba Julius Mtatiro kahamia Mkunazini Unguja Makao Makuu ya CUF ya Taifa ni Buguruni na ndo yupo Prof Lipumba Mwenyekt halali wa CUF

'Baada ya Uchaguzi huu (2015) ndio Mtajua kuwa CCM sio Chama cha Mchezo mchezo- Alhaj Mtarajiwa Dr. Jakaya!
 
Kama unakumbuka kwenye ule mkutano uliovunjika ilipigwa kura kama Prof. aendelee au vipi (kitu kama hicho). Kura nyingi zilizopigwa zilimkataa, waliomuunga mkono ni kama 14 lakini kulikuwa na kundi kubwa ambalo lilikataa kupiga kura. Hii kwangu naisoma kuwa hao wako nyuma ya Prof. Na inavyoelekea wengi ni wa bara na hivyo hivyo wasiomkataa wengi ni wa ZNZ. Ikitokea kila upande una nguvu basi - na naaamini ni hivyo CUF inatatizo kubwa. Bila kupatanishwa chama kinaweza ku-split. Ni wazi CCM watafurahia na kuchochea mpasuko utokee na UKAWA watakua hatarini. Mambo yakiharibika UKAWA (CDM, NCCR, na NLD) itabidi waamue waende na nani. Kwa siasa za sasa hivi huenda wakaenda na CUF zenj na kukawa na uhasama na CUF Tanganyika. Tuombe yasifike huku upinzani ukizorota ............

Huo uchaguzi wafuasi wa Lipumba walisema ulichezewa
na wapiga kura wengine sio wanachama
sijui ukweli ni upi....

CUF tayari ina shida
 
Duh waafrika!ikiwa mwenyekiti tu wa chama tena chaupinzani anakua namamlaka makubwa km hayo unapataje ujacri wakudai mamlaka ya Rais wanchi yapunguzwe ni aibu kabisa
 
Mwenyekiti wa CUF ya Wapemba Julius Mtatiro kahamia Mkunazini Unguja Makao Makuu ya CUF ya Taifa ni Buguruni na ndo yupo Prof Lipumba Mwenyekt halali wa CUF

'Baada ya Uchaguzi huu (2015) ndio Mtajua kuwa CCM sio Chama cha Mchezo mchezo- Alhaj Mtarajiwa Dr. Jakaya!
Sasa CCM inaingiaje kwenye mgogoro wa CUF?
 
Always hua nasema MTATIRO anajifungia mipaka ktk maisha yake ya kisiasa kaingizwa mkenge kwa tamaa tu,sasa SEIF katibu LIPUMBA mwenyekit mtatiro mwanachama,HAHAAAH haya yte LOWASSA na CHADEMA yake kutaka kuweka uongozi wa kimamluki CUF,Deal imebuma watoto wa mjini wamestuka wamemrudsha LIPUMBA.
 
Anafukuza kama familia yake vile. Sijawahi kuona professor Pumbavu kama Lipumba. Ushauria wangu CUF msikubaliane na huu upuuzi.
 
Nahisi umeya wa Ubungo na Kinondoni kuludi CCM. Mission complete chezea ccm wewe mahesabu ya mbali kabisa mkishtuka tayali zamaani wamemaliza michezo
Ukifanikishwa na msomi profesa anayedharirisha taaluma yake
 
Sasa nimeanza kuwaelewa chadema.kuna kipindi jamaa mmoja walitaka kumtumia kuimaliza chadema wakamfukuza. Sasa naipata picha kamili ya ujambazi unaofanywa na CCM.
 
Sasa nimeanza kuwaelewa chadema.kuna kipindi jamaa moja walitaka kutumiwa kuimaliza chadema wakamfukuza. Sasa naipata picha kamili ya ujambazi unaofanywa na CCM.
We unavyoonyesha, hata ukimfumania mkeo anagegedwa na Manfongo utasema ni ccm imehusika!
 
Kwani huyu mzee kweli kakosa kufanya kazi nyingine??si mchumi huyu lkn mbona ana tutia aibu sasa looh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom