Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Big up prof pambana na mamluki wa chadema.
 
Kuna uhusiano wa katazo la mikutano ya ndani la police na kuruhusu kisha fujo hizi....
 
Kumbe matukio ya kina mtatiro yalikuwa ni mihemko tu??
Watu wanaposisitizwa KUFIKIRI wanachukia na kuporomosha matusi.
 
hali tete...
 

Attachments

  • 1474808138494.jpg
    26.9 KB · Views: 23
Kwa hiyo hapa tunabadilisha habari....IPTL...ESCROW.....zinatulizwa kwanza...baada ya hapo...tunaendelea na biashara nyingine.
 
Sasa kila jambo mtakimbilia kuilaumu CCM.

Inawezekana ni kweli CCM kama Watazamaji wengine ukumbini wanaonekana kucheka kwa sauti ya juu kuliko wengine...lakini je mnataka CCM wafanye nini? walie.

Wakicheza Yanga na Ndanda, Mshabiki wa Simba atashangilia Ndanda au Yanga?

Hao jamaaa watwangane tu, hamna namna nyingine.
 
Reactions: nao
Mimi sasa hivi simushangai prof Lipumba kwani ninajua amechanganyikiwa,ninaye mshangaa ni huyu mtu anayejiita jaij mtungi kuhalalisha shudu kuwa mbegu.
Huyu jaji ni kibogoyo yuko pale kimkakati kuakikisha vyama vya siasa vinakufa
 
Mkuu The Boss, Zanzibar ndiko kuna wabunge wengi wa CUF, idadi ya wabunge ndio inayofanya chama kipate ruzuku kidogo au nyingi. Lipumba anastahili lawama katika kuifanya CUF isiwe na wabunge wengi bara, anataka kuwatumia wafuasi wanaomuunga mkono kuficha udhaifu wake. Maana yake ni kwamba kule Zanzibar CUF wanapiga mzigo kwelikweli, tofauti na huku bara ambako Lipumba amekuwa akisaidia CCM tangu muda mrefu badala ya kupambana kwa ajili ya CUF. Unaweza kukumbuka kwamba ni Lipumba alitumia msikiti kuwashawishi Waislamu wampigie kura Kikwete (CCM) kuliko kuiingiza madarakani Chadema chini ya Dk Slaa katika uchaguzi wa mwaka 2010. Tungeonyeshwa kama mfano suala moja tu ambalo Seif "alilitolea sauti ya mwisho" tungeweza kuchangia kwa upana kidogo. Lipumba na wanaomtuma wanafahamu misimo ya Mtatiro, na usishangae kuona Lipumba inafikia mahali analindwa na bunduki ambazo zimenunuliwa kwa kodi zetu, kuharibu taswira ya upinzani! Nadhani umma sasa usimame kumkabili Lipumba, huyu Lipumba wa kuanzia 2010 ni hatari kwa upinzani hapa nchini!
 
Hongera sanaa Profesa lipumba fukuza hao wasaliti wote ndani ya CUF! MTATIRO na MAALIM wamelikoroga waacheni walinywe utashirikianaje na Dikteta Mbowe na FIsadi nyangumi Lowasa
 
Duh???

Kumbe ndo maana watu wanauana na Machafuko huttokea.

Nilikuwa siyajuhi haya hata kidogo, Naacha rasmi kusoma naogopa kuitwa msomi kwa kauli hizi za Ki-Lipumba
 
Ni hatua nzuri kukisuka chama. Ili chama chochote kiwe na nguvu za kujidhatiti kimkakati ni lazima kuwa na kiongozi makini. Prof. Lipumba kaonesha umakini mkubwa. Ikumbukwe kwamba, Prof. Lipumba ndiye muasisi wa UKAWA baada ya bunge la katiba. Prof. Lipumba pamoja na Dr. Slaa walipinduliwa na CCM katika dakika za mwisho karibu kabisa na uchaguzi pale Edward Lowassa alipotumwa na CCM na kuwanunua baadhi ya wapinzani ili wamsafishe kuhusu kashfa ya Richmond. Ni Prof. Lipumba na Dr. Slaa pekee walioweza kujua mbinu hizo na kutamka hadharani kwamba uchqguzi utatawaliwa na CCM iliyojigawa pande mbili. CCM 'A' na CCM 'B'. Upinzani sasa unaweza kuimarika iwapo wapinzania halisi watarejea ulingoni. Dr. Slaa reja nyumbani uungane na mwenzako kwenye mapambano ya ukombozi wa mTanzania anayekosa haki zake za msingi. Maandamano sasa hayana mtu wa kuyazuia.
 


Siasa za nchi hii hata huyo Mtatiro usishangae nae ni 'wakala' tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…