Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
CUF wanamtihani mgumu Sana kumuua nyoka ambaye yumo ndani ya kibuyu Chao,hapa Lipumba siyo kwamba ana kisuka Chama Bali ana suka uwenyekiti wake kwa kuwafukuza wanaompinga na kuwaingiza wanaomkubali Ili uchaguzi utakapo itishwa aweze kushinda kilaini naona huyu professor alipokuwa kimya alikuwa ana hudhiria mafunzo ya kuiua CUF.
 
Niliwahi kuuliza humu CUF Lipumba yuko peke yakeau ana wafuasi?

Hili swali ni la msingi sana, binafsi nashindwa kuelewa hii jeuri na nguvu Prof. Lipumba anaitoa wapi, kama hakubaliki au hana wafuasi ndani ya CUF anapata wapi ujasiri wa kutaka kurudi kwenye nafasi ya uenyekiti? akamuongoze nani? Nadhani kuna shida miongoni mwa viongozi ndani ya CUF, wanajaribu kujenga picha ya kwamba Lipumba hana wafuasi na hakubaliki ndani ya CUF lakini katika reality inaonekana ana backup ya watu.
 

Na walisema hatarudi Buguruni...
sasa yupo Buguruni guku wao wamekimbilia Zanzibar
 
But, yawezekana napata shida kuunganisha dots. Hivi ni kweli CUF ndiyo great threat kwa CCM? I'm just curious, I guess there is something wrong within CUF itself, I'm not happy with what happens to CUF but I think the party members should open up the box and see what eats them inside
 
Mtu aliyejiuzuru katikati ya mapambano Leo Ana sema kuwa ana kisuka Chama kwa ajili ya umeya wa Kinondoni,huyu sheni anayetumiwa na CCM Ili UKAWA wasishinde umeya.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…