Ina maana lile group alilokuja nalo lipumba pale makao makuu ndio wafuasi wa CUF nchi nzima? Mbona hata Diamond sio mwanasiasa lakini anao wafuasi wengi sana...Hata leo DR.Slaa akirudi Chadema atapata wafuasi..Nalikumbuka swali lako... na wakati watu tunaelezea uhalisia, wengine walitukejeli! Leo hii inashangaza kuona mtu asiye na wafuasi lakini bado ameweza kuingia HQ! Na tukiweka unafiki pembeni, hata hapa JF tunaowaona wapo sana upande wa akina Mtatiro ni watu wa CHADEMA ndio wengi kuliko CUF!
NCCR -MAGEUZI ya Mrema in the making ingawa kwa staili tofauti!
lakini huyu si alijitoa mwenyewe nini sasa kinamrudisha?safi sana prof.lipumba, pangua wote wasio na uchungu ndani ya chama!
Unapendekeza njia gani kwa mfano?duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
Usipate shida sana mkuu. Ni suala la ZANZIBAR na uchaguzi uliovurugwa na Jecha. Hapa lengo ni kuifuta CUF kama ni chama cha siasa ili suala la uchaguzi Zanzibar liwe halina mashiko kwa Maalim Seif as his political party will be no longer existing!But, yawezekana napata shida kuunganisha dots. Hivi ni kweli CUF ndiyo great threat kwa CCM? I'm just curious, I guess there is something wrong within CUF itself, I'm not happy with what happens to CUF but I think the party members should open up the box and see what eats them inside
ebu tuambie steling nani wa hilo picha?Sasa ndio picha limeanza chukueni viti vyenu mkae mliangalie picha mimi nimekaa seat ya mbele.
CCMebu tuambie steling nani wa hilo picha?
Inaonesha hqtq utaratibu wa kujiudhuru huujui,,lipumba hakutimiza vigezo vya kisheria vya kujiudhuruAshahuriane na Mwenyekiti aliyejiudhulu?
You mutu, are you mad?
Hapana.Sidhani kama Lipumba ana nguvu kama ile ya Mrema aliyokuwa nayo wakati anaisambaratisha NCCR -Mageuzi.NCCR -MAGEUZI ya Mrema in the making ingawa kwa staili tofauti!
lipumbaccmlipumbanjaa Kali....mbaya amekondeana.....hana hoja atapata wapi support ccm wanaanza vikao vya ndani?safi sana Prof suka upya chama tunahitaji wapinzani ngangari
Ndugu umegonga kwenye uhalisia, mimi mara ya kwanza kushangaa ni kwenye mkutano wa baraza kuu la Taifa ambao uliisha kwa fujo. Niliangalia ule mkutano na nikastushwa na back up aliyokuwa nayo Prof, uhalisia wa kule ni tofauti na wa huku mtandaoni. CUF bara walikuwa bado wanamtaka Prof wakati CUF visiwani walikuwa watiifu kwa Maalim.Hili swali ni la msingi sana, binafsi nashindwa kuelewa hii jeuri na nguvu Prof. Lipumba anaitoa wapi, kama hakubaliki au hana wafuasi ndani ya CUF anapata wapi ujasiri wa kutaka kurudi kwenye nafasi ya uenyekiti? akamuongoze nani? Nadhani kuna shida miongoni mwa viongozi ndani ya CUF, wanajaribu kujenga picha ya kwamba Lipumba hana wafuasi na hakubaliki ndani ya CUF lakini katika reality inaonekana ana backup ya watu.
Baada ya kufanikiwa kurudi sasa mnasema ni ujinga wake. Vp alivyofukuuzwa baada yabkukijenga chama mda mrefu? Sasa si amerudi!!duh, inabidi watafute njia ya kudeal na huyu jamaa kabla hajaleta further damage
Cause hali ikiendelea hivi, chama kinaonekana kiko on the edge ya kuparanganyika
Ila this prof should REALLY be ASHAMED of himself kwa huu ujinga anaofanya na kukubali kupelekeshwa kuharibu/dhoofisha chama ambacho amekuwa nacho na kukitumikia for years.
wanaandaa mpango wa kuimaliza na chadema sasa subiri tuoneDu!
Naona wameamua kuiua CUF. Katibu mkuu huwa anateuliwa na Mwenyekiti, kwa mantiki hiyo Lipumba anauwezo wa kumsimamisha Maalimu Seifu....
Angalau umeuona ukweli, kikao sio halali na kama kitahatarisha amani, wazuiwe tu, hamna namna!Kikao hicho cha kina Mtatiro kilichopangwa kufanyika Zanzibar kitazuiwa na polisi.
Subirini muone.
Mmesema hana mamlaka, sasa mbona mnapaniki na alichosema??Mimi sasa hivi simushangai prof Lipumba kwani ninajua amechanganyikiwa,ninaye mshangaa ni huyu mtu anayejiita jaij mtungi kuhalalisha shudu kuwa mbegu.
[emoji90]safi sana prof.lipumba, pangua wote wasio na uchungu ndani ya chama!