REAGAN C.MABOGO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,269
- 1,007
Huo ndiyo uungwana. Tutamuheshimu sana PROF.Lipumba iwapo atafanya uamuzi huo wa amani. Hili ni jambo la kiungwana kuliko lile analolifanya sasa la kuleta vurugu ndani ya Chama Cha Wanannchi, CUF. Aende kwa amani.Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.
Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Yeye atakuwa zaidi ya sheriaHivi kumbe lowasa ni fisadi papa? Inakuwaje hajashitakiwa
TetesiSource?
KWANI ALISHAWAHI KUWA CCM?Si arudi ccm
Umenikumbusha asset na liability katika RichDady poor DadyUsimlinganishe Prof. Lipumba na Lowasa! ,Lowassa alukuwa mtaji, ameingia Chadema na mtaji mkubwa, he was an asset wakati Lipumba ni liability anajiunga ili apate pa kuponea! .Zitto ni mjaamaa sijui lengo la Lipumba kutafuta pa kuponea kama litatimia huko ACT! .
Kwa taarifa tuu ila usiseme ni mimi ndio nimekuambia! ,2015 aliyeshinda ni mwingine ila aliyetangwazwa ni mwingine! .
Pasco
Mbona hiyo ndiyo alitakiwa kufanya tangu mwanzo, badala ya kujaribu tena kurudi CUF? huwezi kujiuzulu kwa hiari yako kisha ukataka tena kurejea kwa muda mfupi! Prof hapo alionyesha wazi kwamba yeye ni Mchumi kwa hiyo hajui sana haya mambo ya principles za politics.....
Hiii point,acha Jamaa wajifariji na Mamluki wao,lakini ndio kitakachowakutaHakika hata kama watu wapige vijembe kiasi gani ila ukweli ni kwamba Lipumba ataongeza nguvu ACT kwa kiasi kikubwa sana.
Hili halihitaji tochi,maana Mkuu wao alipoingia UKAWA akaona ndio nafuu,kumbe anapukutishwa.Naiona CUF ikifutika bara kwa kasi. Dhambi ya ubaguzi inawamaliza CUF.
Hii ni kama itakavyotokea baada ya Kumgundua EDDO kama ni CIA wa ccm.Mkuu Molemo, asante kwa Taarifa, Prof. Lipumba kisiasa ni spent force, Zitto anamkaribisha tuu ili kumtumia kama mtaji kwa kuwavuta wale wafuasi wake bendera fuata upepo ili aipasue CUF na kuiimarisha ACT kwa kupanua wigo wa membership base tuu lakini kiukweli Lipumba hana lolote jipya atakalofanya CUF kwa sababu Uenyekiti wa ACT, ni uenyekiti kilemba cha ukoka tuu, all the powers lies with ZZK, Lipumba kwa vile ni power monger, can't stand kufanywa boya hivyo he will demand real powers na hapo ndipo itakapoibuka vita na mwenye chama chake! .
Hivi Prof. Lipumba ni lazima tuu awe Mwenyekiti? . Hawezi kuwa mwanachama tuu wa kawaida?!.
Pasco
Kuna ukweli fulani. Maana yule babu huwa anajipa muda wa kutafakari na kuchambua maamuzi yake. Na mahesabu yake yaweza kumpeleka nyumbani kwakeBabu atarejea tuu nyumbani kwake alikotokea na sio ACT.
Pasco
Mwenyekiti si yupo uko lakini? au ata step down? au Mtendaji mkuu atampisha Proffessor?Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba.
Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama.
Nimecheka sana,ingawa ukishaingia kwenye siasa inakupasa uvuwe weredi na kubaki kusikiliza wakubwa wako wanasemaje.Prof Lipumba katutia sana aibu wasomi
Sijapata ona msomi wa hovyo kama huyu
Hakika huyu sio LIPUMBA bali ni MAPUMBA
Kama alivyo EDDOHuyu mzee Mungu anamuona ni mroho wa madaraka
Kweli we nae ni zero kabisa. Huko anakoenda ndo kuna wasakatonge siyo?. Na wale wanaohamishwa n.a. kufukuzwa kwa kutolipa kodi ndo siyo wasakatongeNaona wasaka tonge wamekusanyana yetu macho