Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Huyu mzee aachane na siasa kwani hana impact yoyote kwa sasa, ndo maana mzee makamba aliwahi kumpiga kijembe kwamba kapauka kama shati.
 
Huyo chiba wako ana maumivu gani?

Punguza dhihaka. Huna ubinadamu?. Kisa Lissu ni CHADEMA unaona furaha alivyofanyiwa?. Aliyetoa pesa za kukodi ndege kwenda kumpeleka Lissu Nairobi alikuwa mwana CCM asiyeendekeza uchama Kama.
 
Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.

Magu gani anamtaja? Anamtaja Magu maana ndio Mastermind kwa kushambuliwa kwake. Bahati nzuri muuaji mkuu kafa yeye Lissu kabaki.
 
Hana Mke na huwa anaogopa asiposhiba kwenye hiyo shughuli hatakuta chakula Tena nyumbani, poor fellow
 
Huwa namuona kama hamnazo huyu mbabu
 
yuko sahihi kila mmoja wetu akiongelea madhira aliyopta aonewe huruma litakuwa taifa lakuoneana huruma watanzania wana njaa wanatokaje kwenye shida hii wanahitaji mwongozo

Seema mnaona aibu Lissu kapona , mengine ni kujikosha tu. Lissu alipopigwa risasi ilikuwa big news, leo mnataka iwe habari ya kawaida. Wewe Kama una madhira na wewe kayaseme Kama utasikilizwa.
 
Magu gani anamtaja? Anamtaja Magu maana ndio Mastermind kwa kushambuliwa kwake. Bahati nzuri muuaji mkuu kafa yeye Lissu kabaki.
Sema katangulia, kwenye kifo hakuna kubaki, kila mmoja ataondoka tu.

Niujinga kushupaza shingo kupambana na Marehemu.

Mtu ambae hawezi ku exist infinity, na hawezi kujitetea kama lisemwalo ni kweli ama uwongo.

Watu wanataka kusikia sera na mipango Ili waamini uwezo wamtu katika kutatua matatizo mbalimbali.

Kulialia hovyo niudhaifu, tabia za kulialia wanazo wakina mama na watoto wakiume.
 
Huu ni uchakubimbi,ni tabia za wanawake wasio na kazi

Wewe ndio chakubimbi , unamuona profess was maana kimzungumzia Lissu Ila mwingine kumwelezea lipumba unamuona chakubimbi. Punguza unafiki.
 

Umarehemu haumuondolei ujinga wa kumshambulia Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…