Prof. Mbarawa: Tukipata muwekezaji mahiri bandarini, 67% ya bajeti itatoka bandari ya Dar na kuacha kutembeza bakuli

Prof. Mbarawa: Tukipata muwekezaji mahiri bandarini, 67% ya bajeti itatoka bandari ya Dar na kuacha kutembeza bakuli

WAZIRI wa Uchukuzi Bw MBAWALA anadai BANDARI ikipata MWEKEZAJI Makini Bandari itachangia Asilimia 67 Ya BAJETI na "HATUTATEMBEZA BAKULI."
BINAFSI NAMPINGA kwa sababu MFUMO uliopo Hayo MAKUSANYO yatapigwa na WAHUNI na HAWATAFANYWA chochote kwani SHERIA zilizopo ZINAWALINDA WEZI na MAFISADI hivyo TUSIDANGANYANE.
Viongozi na Watendaji Wamekuwa WAKIIBA FEDHA za SERIKALI kama REPORT ya CAG inavyoonyesha lakini HAKUNA HATUA wala UTHUBUTU wa KUWACHUKULIA HATUA Umeonyeshwa na VYOMBO VYOTE sio BUNGE TAKUKURU wala SERIKALI hivyo na Hayo MAKUSANYO ya BANDARI YATAIBIWA TU.
Kwa hiyo Serikali inakili wazi kushindwa kuleta ufanisi inategemea mtu wa kuja aje awajengee uchumi mzuri watanzania. Tulidai UHURU ili tufanye nini?
Serikali hii ina manufaa gani kwa watanzania?
 
Hata wangekusanya fedha nyingi kiasi gani,hata makusanyo yangetishereza kugharamia bajeti nzima, bado nchi itaendelea kuomba na kukopa tu.

Sehemu kubwa ya makusanyo hayo yataishia kubadirisha magari ya viongozi, kugharamia semina, warsha, workshop, per diem.

Zingine nyingi zitaibwa kwa invoice zenye maneno mengi lakini zitaishia mikononi mwa wezi wa serikalini.
 
Sidhani km kuna bandari duniani popote inachangia 67% ya mapato ya inchi...hizi figures ni km za kilimo cha tikiti maji kwa what'sup.
 
Natamani kauli hiyo angeigeuza na kutamka akiiambia familia yake kama ataeleweka kirahisi.

Yaani aseme hivi, kutokana na Hali ngumu ya maisha anayopitia na familia yake,

Akimpata mwekezaji Kutoka nje ya family, familia itaishi vizuri.

Kauli zingine ni MATUSI ya WAZI, ndomana Kuna mtu alivurumisha viatu kumuekekea kiongozi mmoja aitwaye Bush kwenye press conference.
 
Mara mgao wa umeme utakuwa historia, madini yatabeba bajeti yote, mara mkataba wa gesi itawaokoa mama zetu na madhara ya moshi, mara Royal tour itakuza utalii hivyo utalii inaendesha nchi, mara bandari itaendesha 67% ya bajeti ya nchi, mara mwendokasi itaondoa tatizo la foleni Dar, mara fly over.

Tuna hasara sana kupata viongozi wasiyotumia tafiti kujua namna ya kutatua changamoto zinazowakabili jamii zetu.
Kwahiyo Waziri hajui kuwa tulishawapata wawekezaji wengi sana mahiri kwenye nyanja mbalimbali lakini tunaangushwa na uwajibikaji wa viongozi wa serikali akiwemo na yeye.

Yaani mwekezaji awe serious kuliko anaetaka kuwekezwa kwake.
Tuna watu ambao sina hakika kama hizi elimu zao hasa za uprofesa kama zina wasaidia .... au wana waz kwakutumia tumbo ...... mtu mwenye akili timamu hapaswi kuwa ivi ..... au Tuna hujumiwa wazi wazi
 
Sidhani km kuna bandari duniani popote inachangia 67% ya mapato ya inchi...hizi figures ni km za kilimo cha tikiti maji kwa what'sup.
Tatizo la VIONGOZI wa TANGANYIKA wanawaona Wananchi hawana UELEWA wa MAMBO
 
WAZIRI wa Uchukuzi Bw MBAWALA anadai BANDARI ikipata MWEKEZAJI Makini Bandari itachangia Asilimia 67 Ya BAJETI na "HATUTATEMBEZA BAKULI."

BINAFSI NAMPINGA kwa sababu MFUMO uliopo Hayo MAKUSANYO yatapigwa na WAHUNI na HAWATAFANYWA chochote kwani SHERIA zilizopo ZINAWALINDA WEZI na MAFISADI hivyo TUSIDANGANYANE.

Viongozi na Watendaji Wamekuwa WAKIIBA FEDHA za SERIKALI kama REPORT ya CAG inavyoonyesha lakini HAKUNA HATUA wala UTHUBUTU wa KUWACHUKULIA HATUA Umeonyeshwa na VYOMBO VYOTE sio BUNGE TAKUKURU wala SERIKALI hivyo na Hayo MAKUSANYO ya BANDARI YATAIBIWA TU.
Tanzania ni chi donor - kwa sauti ya marehemu.
 
WAZIRI wa Uchukuzi Bw MBAWALA anadai BANDARI ikipata MWEKEZAJI Makini Bandari itachangia Asilimia 67 Ya BAJETI na "HATUTATEMBEZA BAKULI."

BINAFSI NAMPINGA kwa sababu MFUMO uliopo Hayo MAKUSANYO yatapigwa na WAHUNI na HAWATAFANYWA chochote kwani SHERIA zilizopo ZINAWALINDA WEZI na MAFISADI hivyo TUSIDANGANYANE.

Viongozi na Watendaji Wamekuwa WAKIIBA FEDHA za SERIKALI kama REPORT ya CAG inavyoonyesha lakini HAKUNA HATUA wala UTHUBUTU wa KUWACHUKULIA HATUA Umeonyeshwa na VYOMBO VYOTE sio BUNGE TAKUKURU wala SERIKALI hivyo na Hayo MAKUSANYO ya BANDARI YATAIBIWA TU.
Mim najiulizaga maswali mengi ivi kuna haja gani ya CAG kutusomea yale makaratasi ilihali hatua yeyote haichukuliwi ...... ninashawishika kusema hata mamlaka ina husika na ubathilifu wa mali za uma .... haiwezekani serikali ikawafumbia macho wezi .....au na yenyewe inahusika kwa namna moja au nyingine ..... KATIBA MPYA , KATIBA MPYA NI LAZMA
 
Mim najiulizaga maswali mengi ivi kuna haja gani ya CAG kutusomea yale makaratasi ilihali hatua yeyote haichukuliwi ...... ninashawishika kusema hata mamlaka ina husika na ubathilifu wa mali za uma .... haiwezekani serikali ikawafumbia macho wezi .....au na yenyewe inahusika kwa namna moja au nyingine ..... KATIBA MPYA , KATIBA MPYA NI LAZMA
faida si ndiyo kama hii ya DP World, unafikiri ilianza tu yenyewe? Ilitokana na ripoti za CAG, jisomee:

 
faida si ndiyo kama hii ya DP World, unafikiri ilianza tu yenyewe? Ilitokana na ripoti za CAG, jisomee:

Hiyo DP wold haito saidia chchte tuna mifumo mibovu sana ..... na wew ni miongoni mwa watu wa hovyo cjapata kuona
 
Hata sisi wenyewe tunaweza kufanya watayoyafanya wawekezaji.

Tuna watu na fedha.

Kama mtu anaiba na una ushahidi si unafukuza tu unaweka mwingine??

Yaani mtu una jeshi, Takukuru, polisi na Tiss unashindwa kucontrol wafanyakazi wa bandari mpaka umpe mgeni bandari bila ukomo??

Hapa kuna harufu ya rushwa hakuna jingine.

Madili ya watu tu kujipigia pesa kupitia rasilimali za nchi.
Huo ndio ukweli,
Mwekezaji anakupa robo ya mapato!
Ukifanya mwenyewe mapato yote yanakuwa yako!
 
Hivi anajua maana ya asilimia 67 ya bajeti?. Tatizo tunapigwa maneno ila siku mambo yakiharibika sisi ndio tutaumia, mabarawa hata kuwepo
 
Miaka 60 ya uhuru hatujui hatuna wasomi wa kuendesha bandari alafu tunasema tupo huru
giphy.gif
 
Just a worse of the worse.

"Black people are not the complete human beings because THEY DONT HAVE A GOOD BRAIN TO GOVERN THE SOCIETY as white people are.They are still under the process of becoming the complete human beings".
By Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

[Emphasis is added]

Ni mpumbavu asiye na akili. Vita za dunia zimeanzia wapi? Ni nchi gani ya ulaya ndani ya miaka 60 toka wameanza taifa lao wanamaendeleo kama yetu?
 
Waziri Mbarawa akiongea na waandishi wa habari leo Julai 14, 2023 Dar ikiwa ni zoezi la kutoa elimu kuhusu uwekezaji kwenye bandari, amesema kama Taifa litapata muwekezaji mzuri kwenye bandari, asilimia 67 ya bajeti ya Tanzania itatoka bandari ya Dar.

Mbarawa anasema Serikali inajenga miradi mikubwa na haiwezekani kuendelea kila siku kutembeza bakuli na kuomba ilhali ipo rasimali ambayo ikitumika na kusimamiwa vizuri itabadilisha uchumi wa Tanzania kwa asilimia kubwa.

Huo ni akili za kufikirika za Abdunuwasi .ni sawa na ndo y kummaliza chuo kuwa utakuwa na gari nyumba na mke .ukimaliza ndo utajua haujui
 
Tukipata mwekezaji inamaana wao wenyewe hawajawaamini waarabu 😊😊
 
Hata sisi wenyewe tunaweza kufanya watayoyafanya wawekezaji.

Tuna watu na fedha.

Kama mtu anaiba na una ushahidi si unafukuza tu unaweka mwingine??

Yaani mtu una jeshi, Takukuru, polisi na Tiss unashindwa kucontrol wafanyakazi wa bandari mpaka umpe mgeni bandari bila ukomo??

Hapa kuna harufu ya rushwa hakuna jingine.

Madili ya watu tu kujipigia pesa kupitia rasilimali za nchi.
Acha uzwazwa wewe Tics wamekuwepo miaka mingapi na wameshindwa?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Mabarawa ni bora akajikita kupambania haki za Fei Toto na sio hayo mambo ya bandari za Tanganyika.
 
Back
Top Bottom