Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

Pamoja na changamoto zote, lakini MCHENGERWA anao unafuu kuliko Prof Mkenda. Yaani kiukweli kabisa hawa wengi wa Maprofesa binafsi sielewi utendanji wao. Ongezea Prof Kitila.....yaani maneno mengi bila utendaji. Wagumu wakushaurika @ Mama Samia, Rais wetu........ebu ikikupendeza hawa watu wapatie kazi zingine.
Siasa nyingi sana kuliko vitendo
 
Ikiwa tu shule hiyo masomo yanayotumia kiingereza yanafundishwa, basi hapo English course inaweza kufanyika.😄😄😄😄
Ni kiswahili peke yake ndo hakitumii kiingereza
Ni shida sana mkuu, wapo bize siasa huku watoto wa wabaingazaji wanakosa elimu bora
 
Nasikitika na wewe unafanya kosa kama hao waandaa mtaala. Nachofahamu ni kuwa Sasa hivi ni muda wa orientation course, hii imeejdelea kubaki kama kawa (wiki 8). Baada ya hapo ndipo yataanza masomo rasmi ya....hayo ya mtaala mpya.

Nakuunga mkono, Kuna tatizo kubwa katika hili......kubwa kiasi hata unaowashutumu kina Mchengerwa na Mkenda pengine hawaelewielewi nini' kifanyike katika kinachotokea.

Sikuungi mkono kuwaacha tu hao watoto, wapigeni English course ya maana......baada ya hapo ndipo muwauzie ubuyu.
Hahahhahahha, english course hiyo hamna formati, maana form kila kitu kipyaa
 
Nasikitika na wewe unafanya kosa kama hao waandaa mtaala. Nachofahamu ni kuwa Sasa hivi ni muda wa orientation course, hii imeejdelea kubaki kama kawa (wiki 8). Baada ya hapo ndipo yataanza masomo rasmi ya....hayo ya mtaala mpya.

Nakuunga mkono, Kuna tatizo kubwa katika hili......kubwa kiasi hata unaowashutumu kina Mchengerwa na Mkenda pengine hawaelewielewi nini' kifanyike katika kinachotokea.

Sikuungi mkono kuwaacha tu hao watoto, wapigeni English course ya maana......baada ya hapo ndipo muwauzie ubuyu.
Pole sana mkuu hivi ujui kau Basiline/orientation course lazma iendane na masomo yatakayofundishwa. Tatizo msiokua kwenye hii field ndiyo mnaisemea hii field
 
Pole sana mkuu hivi ujui kau Basiline/orientation course lazma iendane na masomo yatakayofundishwa. Tatizo msiokua kwenye hii field ndiyo mnaisemea hii field
[/QUOTE
Kabisa mkuu mtu anatetea asichokijua vzr ni vzr soma na upite
 
Siku ambayo mtumishi yeyote wa umma/serikali atakapolazimika kumpeleka mtoto wake kwenye shule ya umma, ndipo tutakapokuwa na viongozi wanaostahili kuongoza, na sio sasa ambapo waziri mpaka Afisa Elimu watoto wao wanasoma Feza.


Ubepari ni unyama unyama .
Watu wanatu mfumo wa kufa kufaana.

JPM alikua ameanza kuboresha shule za umma hasa za bweni .

Elimu yetu iliyumba baada ya kuanzisha shule za kata huku wakubwa wakiwa wamezitekekeza bila walimu na maabara .
Leo hii kila kata ina shule ya kampeni za CCM lakini hazina walimu wa kutosha wala miundombinu rafiki .

Mitaala mpaka sasa tunawategemea wanasiasa kusimamia mambo ya kitaalamu. Prof.Mkenda ni msomi wa juu kabisa lakini alipoingia kwenye siasa ndio basi tena anawaza kufanya mambo yake binafsi kwa manufaa ya familia yake .

Kwa nini hatuendi kujifunza kwa wenzetu huko kwenye nchi zenye mafanikio ya kielimu kama Korea ya Kusini ,Japan, Irani , Kuwait n.k?
 
Ubepari ni unyama unyama .
Watu wanatu mfumo wa kufa kufaana.

JPM alikua ameanza kuboresha shule za umma hasa za bweni .

Elimu yetu iliyumba baada ya kuanzisha shule za kata huku wakubwa wakiwa wamezitekekeza bila walimu na maabara .
Leo hii kila kata ina shule ya kampeni za CCM lakini hazina walimu wa kutosha wala miundombinu rafiki .

Mitaala mpaka sasa tunawategemea wanasiasa kusimamia mambo ya kitaalamu. Prof.Mkenda ni msomi wa juu kabisa lakini alipoingia kwenye siasa ndio basi tena anawaza kufanya mambo yake binafsi kwa manufaa ya familia yake .

Kwa nini hatuendi kujifunza kwa wenzetu huko kwenye nchi zenye mafanikio ya kielimu kama Korea ya Kusini ,Japan, Irani , Kuwait n.k?
Uzalendo Tanzania ndio tatizo mkuu, inayosabishwa na egoism
 
Mtaala mpya,
Silabus mpya
No vitabu shuleni
No walimu semina
Wakuu wa shule hawaelewi
Wanafunzi form one wameripoti mashuleni, walimu hawaelewi cha kufanya, mbona kama hamko serious na elimu ya watanzania ?
Kuna haja gani kuanzisha mtaala mpya wakati vitendea Kazi hamjaviandaa, leo ni siku ya nne form one hawajasoma chochote kile,. Eeee Mungu Tusaidie sisi wabangaizaji .
Yaani Hawa jamaa hasa hasa mkenda wanachuki kubwa Sana na watoto wa kitanzania. Sijuwi Kwa kuwa wao wanamudu gharama ya international schools.
 
Bora hata wakoloni walikuwa wanajenga shule chache zenye maana na zilizojitosheleza kuliko serikali yetu inajenga shule nyingi ambazo inashindwa kuzihudumia matokeo yake mwalimu mmoja anafundisha watoto 200 kwa wakati mmoja.
 
Mtaala mpya,
Silabus mpya
No vitabu shuleni
No walimu semina
Wakuu wa shule hawaelewi
Wanafunzi form one wameripoti mashuleni, walimu hawaelewi cha kufanya, mbona kama hamko serious na elimu ya watanzania ?
Kuna haja gani kuanzisha mtaala mpya wakati vitendea Kazi hamjaviandaa, leo ni siku ya nne form one hawajasoma chochote kile,. Eeee Mungu Tusaidie sisi wabangaizaji .
Walimu wapya wapo bado kwenye usaili. Hapo mpaka waripoti kituo Cha kazi na kuanza kazi ni miezi kadhaa imeshapita.
 
Pole sana mkuu hivi ujui kau Basiline/orientation course lazma iendane na masomo yatakayofundishwa. Tatizo msiokua kwenye hii field ndiyo mnaisemea hii field
Pole wewe. Nilianza pale aliposema siku ya nne watoto wapo tu hawafundishwi chochote. Ndipo nokaja na hoja hiyo; Kwahiyo hata salamu, kujitambulisha, kuwatambulisha wenzio, kuhesabu, kusoma ramani nako kumebadilika?!!!!
 
Mtaala mpya,
Silabus mpya
No vitabu shuleni
No walimu semina
Wakuu wa shule hawaelewi
Wanafunzi form one wameripoti mashuleni, walimu hawaelewi cha kufanya, mbona kama hamko serious na elimu ya watanzania ?
Kuna haja gani kuanzisha mtaala mpya wakati vitendea Kazi hamjaviandaa, leo ni siku ya nne form one hawajasoma chochote kile,. Eeee Mungu Tusaidie sisi wabangaizaji .
Mkenda Prof, njoo huku Kuna kimeo chako 😔😔😔👇👇👇👇
 

Attachments

  • VID-20250117-WA0016.mp4
    26.3 MB
Mtaala mpya,
Silabus mpya
No vitabu shuleni
No walimu semina
Wakuu wa shule hawaelewi
Wanafunzi form one wameripoti mashuleni, walimu hawaelewi cha kufanya, mbona kama hamko serious na elimu ya watanzania ?
Kuna haja gani kuanzisha mtaala mpya wakati vitendea Kazi hamjaviandaa, leo ni siku ya nne form one hawajasoma chochote kile,. Eeee Mungu Tusaidie sisi wabangaizaji .
Hilo li-Mkenda ni lipuuzi hata aliyemteua hayuko serious. Samia anajenga skuli za maghorofa Zanzibar kwa pesa za watanganyika hana muda na elimu yenu watanganyika.
 
Back
Top Bottom