Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Hii ni kweli.
Unaanzisha mtaala mpya, walimu ambao ndio watekelezaji wakuu hujawapa semina au mafunzo, vitabu havipo, na pia zana zinazuhusiana na mtaala ni haba.
I wish I could be SAMIA.
NINGEKULA KICHWA CHA MKENDA.
Unaanzisha mtaala mpya, walimu ambao ndio watekelezaji wakuu hujawapa semina au mafunzo, vitabu havipo, na pia zana zinazuhusiana na mtaala ni haba.
I wish I could be SAMIA.
NINGEKULA KICHWA CHA MKENDA.