Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

Sisi wazazi tunao umia sana na huu upuuzi inabidi mtufikirie..Eti tenda ya vitabu wanampa Nyangwine ..nae kapiga chake yupo India ametulia. Sikuona na wala sioni ulazma wa kutekeleza mtaala ulioboreshwa kwa haraka hivi
 
Wa
Sisi wazazi tunao umia sana na huu upuuzi inabidi mtufikirie..Eti tenda ya vitabu wanampa Nyangwine ..nae kapiga chake yupo India ametulia. Sikuona na wala sioni ulazma wa kutekeleza mtaala ulioboreshwa kwa haraka hivi
Wanazindua mtaala wakati vitabu shuleni, hamna, walimu hawapo,
 
Back
Top Bottom