Prof. Mkenda, waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 kutoka shule ya msingi moja wote wamehamishiwa sekondari moja

Mkuu huu ni mpango mkakati wa CCM kuzalisha vilaza wasioweza kuhoji kitu chochote ili waendelee kubaki madarakani milele kwa maslahi ya matumbo yao mapana yasiyoshiba kamwe!
 
Na wote wapangiwe shule moja so kama ni ujinga na tabia za kijinga wanazihamishia kwenye shule mpya waliyopangiwa
Mkuu hata mimi nimejiuliza swali kama hili hili. Kama labda kuna wanafunzi walikuwa na "wachumba" wao si ndio wamewafungisha ndoa kabisa? Huu ni uamuzi wa kijnga kabisa kuwahi kuamuliwa na kiongozi hapa nchini.
 
The vice versa is true km watakuwa watoto wenye tabia Njema
Na wote wapangiwe shule moja so kama ni ujinga na tabia za kijinga wanazihamishia kwenye shule mpya waliyopangiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…