Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Tusijidharau!
Sio Kujidharau ,tunaposema Chuo Kikuu miaka 1000 iliyopita hebu tuwe na ushahidi basi...wenzetu ,Wazungu wanatuonesha Vyuo vyao vya Karne ya 15 hata moyo unaridhika!
Zamani nikikiwamuumini was Hizi porojoza kina Walter Rodney nilipofumbua macho nikaona no maneno ya Wanaharakati was Historian ya Kizalendo!
Wewe unafikiri ni kweli kuwa Wakoloni waliididimiza afrka?!😆😆
Ninachokiona Mimi ninkuwa ni jamii zenye Hatua Tifauti za Maendeleo ziliingiilina kijamii,kisiasa na Kiuchumi: na mojawapo ilikuwa mbali mno ktk Maendeleo!
 
Watanzania tuna obssesion sana na PHD ata sijui kwanini.

Nchi za wenzetu Phd mbona sio issue ivyo kwanza ata aikupi priority kazini au heshima ya vilee kwenye jamii.

An experienced lawyer with the history of winning court cases is worth more than any professor in the firm.

A certified accountant is worth more than a PhD accountant (well to be a certified account kwanza ufanye kazi miaka mitatu in that time upasi mitihani ya ACCA) then uwe specialized in one area kwa miaka miwili halafu ndio wakupe cheti. Ina maana kuanzia degree hadi uje kuwa certified ni 8/9 years na kama 8 years forget working for large firms maana huna honours degree they won’t even consider you.

And so forth in many other disciplines; experiences matters.

Ufahari wa PhD nchi za wenzetu ni pale unapokuja na thesis ambayo inatoa mwanga mpya kwenye jambo fulani and that is very rare.

Most famous PhD scholars gained their popularity whilst writing other research in their academic life; long after their PhDs thesis’s and that includes Einstein.

Vinginevyo si ata kwenye first degree kwa baadhi ya discipline at one point utatakiwa uandike kuhusu maswala ya ‘innovation and imagination’ in doing so unatafuta sehemu yenye changamoto kwenye discipline yako. Andika literature review report (not the same as in five chapters thesis) on the subject. Next a research project (proposal) to overcome the issue; usually there are two reports to complete an assignment.

Hapo kwenye kuandika ‘literature review’ report part of research methodology utafundishwa on how to appraise academic papers using CASP or other methodologies to make sure you are using well researched papers (papers nyingine ni upuuzi mtupu).

Thus part of quick scan to find suitable papers unatakiwa uangalie research methodology, sample size and so forth; to do with appraisal methodologies.

Na kwenye kufanya appraisal on a topic unakutana na journals zenye collaborations za scholars kadhaa ambao ni current lectures and some in reputable universities na ukisoma topic zao ni upuuzi mtupu; you wouldn’t want to use such papers. But they are published journal articles in a reputable site nontheless.

Sasa kwanini iwe shida Tanzania kuona watu kadhaa wameandika thesis zao; hiyo sio shida issue ipo kwenye quality ya kazi zao. Otherwise thousands of people earn PhD’s each year it doesn’t mean all of them are special.

Binafsi siwezi poteza muda wangu kusoma Phd ya mwanasiasa yeyote wa Tanzania najua utakuwa ujinga mtupu including Mwandosya.
Mkuu uwe na heshima mkuu ........mtoe Mwandosa kwenye andiko.lako,
 
Mbona Dr. Msukuma haumtaji? Dr. Mary Mwanyelwa?
"Dkt" Mary Mwanjelwa, "Dkt" Makongoro Mahanga (RIP), "Dkt" Masaburi (RIP), "Dkt" Mary Nagu waliwahi kujadiliwa hapa siku za nyuma. Tofauti ni kuwa wao walikwapua zao kutoka degree mills za nje; sasa hawa sasa wakaamua kukwapua humu humu ndani. Tanzania kuna vyuo kadhaa ambavyo havitakiwi kuruhusiwa kutoa shahada za uzamili- UDOM ikiwa mojawapo, ila TUCT ni kama ipo ipo tu.
 
Ndalichako Yuko kimya tu .huyu si ndo alituambia bila A level hakuna uni. Anaruhusuje uzwazwa kwenye PHD .Hadi Dr Msukuma
PHD kama za kina msukuma zipo mkuu,shida ni nani kazitoa! Na sababu ya kuzitoa.
Hata Mzindakaya Alikuwa nayo!
Hivi Leo Chuo Fulani kikimpa Mbunge wa Kahama Kishimba digrii ya heshima kitakosea..

Jamaa huwa anatoka nje yaa box aisee😄😄
 
"Dkt" Mary Mwanjelwa, "Dkt" Makongoro Mahanga (RIP), "Dkt" Masaburi (RIP), "Dkt" Mary Nagu waliwahi kujadiliwa hapa siku za nyuma. Tofauti ni kuwa wao walikwapua zao kutoka degree mills za nje; sasa hawa sasa wakaamua kukwapua humu humu ndani. Tanzania kuna vyuo kadhaa ambavyo havitakiwi kuruhusiwa kutoa shahada za uzamili- UDOM ikiwa mojawapo, ila TUCT ni kama ipo ipo tu.
Hata Mzumbe...
Kuna watu nawafahamu Wana MA za DS Mzumbe ni aibu kwa Elimu,wao wenyewe na Chuo Chao!
 
Kama Prof. Muhongo hajasoma abstract zao, kama hajasoma conclusions, kama hajui internal supervisor(s) ni akina nani, kama hajui external examiner(s) ni akina nani na kama hajui wamepublish wapi papers zao zilizowasaidia kugraduate anapata wapi sababu ya kuwa na wasiwasi na PhD za hao waheshimiwa? Hapo ni kama ule msemo wa Waingereza wa "jumping the gun". Lakini pia anayesema TCU iko kimya, sidhani kama ni sahihi. Kazi ya TCU ni kutoa ithibati ya program lakini Senate za vyuo husika ndio zina wajibu wa kuhakikisha wanatoa PhD zenye viwango. TCU hawasimamii wanafunzi wa PhD bali wahadhiri walioidhinishwa na Senate. Maswali ya kujiuliza ni je hao waheshimiwa wamepitia michakato yote ya kupata PhD zao? Senate wameridhika kuwa kilichofanyika kinakidhi viwango vya PhD? Wamepublish kwenye majarida yanayotambuliwa na UDOM? Kama jibu ni ndio, huu wasiwasi wa maprofesa wenzangu unatoka wapi? Kwamba kupata PhD ni mchakato mgumu na hivyo waziri ambaye yuko busy na shughuli za kiofisi hawezi ni hoja isiyo na mashiko.
Sawa Prof.
 
Sio Kujidharau ,tunaposema Chuo Kikuu miaka 1000 iliyopita hebu tuwe na ushahidi basi...wenzetu ,Wazungu wanatuonesha Vyuo vyao vya Karne ya 15 hata moyo unaridhika!
Zamani nikikiwamuumini was Hizi porojoza kina Walter Rodney nilipofumbua macho nikaona no maneno ya Wanaharakati was Historian ya Kizalendo!
Wewe unafikiri ni kweli kuwa Wakoloni waliididimiza afrka?!😆😆
Ninachokiona Mimi ninkuwa ni jamii zenye Hatua Tifauti za Maendeleo ziliingiilina kijamii,kisiasa na Kiuchumi: na mojawapo ilikuwa mbali mno ktk Maendeleo!
Soma na upate ushahidi, usiwe kama mhitimu wa UDOM.
 
Afrika professional hailipi zaidi kuliko political mkuu.labda nje ndo career Zina Mana Sana.
Hata kama hazilipi bado ni muhimu zitolewe kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa, Kama zitatolewa kienyeji basi ni janga kwa elimu yetu
 
Hao jamaa huko Waliko wanajuta kusoma jizo PHD..Bora wangejikalia kimya tu mana kelele hizi ni nyingi na mm najua hizi kelele sio bure kuna kitu...
 
Mkuu hivi unachozungumza unakitafakari?? Huwezi kumpangia mtu cha kuifanyia elimu yake. Kuwa Prof. au Dr. haimainishi kwamba ndio kunakufunga kuwa mtawala au kufanya kazi za kisiasa. Kila mwanadamu anayohaki ya kiutumia elimu yake vile anavyojisikia maana ni elimu yake.
Mkuu ninachokisema nimekitafakari vya kutosha. Bado nisisitize kwamba mtu aliyetumia nusu karne akispecialize katika taaluma fulani chuo kikuu angeweza kuifaa jamii zaidi kama angewezeshwa inavyostahili kuitumikia taaluma yake. Can you imagine practicing professor wa medicine au neurosurgeon mara tu aache kuitumikia jamii yake katika sekta ya afya hospitalini kwa capacity ya tiba na elimu ya tiba ili awe waziri wa nyumba na makazi? Ikiwa hivyo it is just plain wrong.
 
Sipo toufauti na mtoa hoja, ...ila issue ya PhD honor. haikuanza karne hii , au kwa sababu za kisiasa...
Vilevile tusiingize siasa kwenye vitu vya msingi.
Hoja yangu ni kwamba mtu kupata phD ya heshima aina maana elimu yetu itapungua ila hizi ni exceptional honor.. mfano vyuo vya nje , zilimtunuku jakaya phD honor.
Sasa kupewa u- Doctor ya heshima haina maana kwamba walienda darasani kusomea bali ni kwa namna gani wanatoa mchango kwenye jamii. Na impact yao ilivyo ..
Sisi watu weusi tuna kuwa na roho za wivu yaani mwezetu kapewa heshima kwa mchango haliyoitowa kwenye jamii ..tunaanza kujadili personality ya mtu kweli.., hatuwezi ku- develops kifikra tutakuwa ivi tulivyo.
Nilazima tujifunze ku- appreciate vitu.
 
Back
Top Bottom