ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
CAG Assad tarehe yake ya kustaafu ni kesho hivyi CAG mpya ilibidi ateuliwe Jumanne
apo sheria inasema lazima aongezewe mda wa awamu ya pili neno shall kwenye sheria manake lazima ila ingekuwa may hapo manake ni optionalView attachment 1252955
Anasema? wewe huwezi tumia akili aliingia lini na kujua wewe wenyewe bila yeye kukwambia?
Soma vifungu hapo na tenure of office.
Mwisho wa siku mkubwa atabaki msafi huko kijijini kwake kama ilivyo JK, watakaokuwa wakizodolewa ni washauri wake kisheria. Washauri wa kisheria wa mkubwa watakuwa wanamshauri mzee vile wanavyoona anapenda na anafurahia. #MandegeYanakuja #Tunatekeleza #Mataga |
Mbona unamuandama sana, mpe nafasi na yeye ajiteteeCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Dogo leo ni November 3, sio October 3. Acha kuchanganya watu!October 3, 2019
- October 6 1961
Miaka 57 na siku 362
Huko kwenu huwa wanastaafu na miaka 58?
Darasa la tatu kwenda la nne mtihani wa hesabu ulipata ngapi?
Nani kakwambia mimi nimesema ni leo?Dogo leo ni November 3, sio October 3. Acha kuchanganya watu!
2020 itapendezaProf. Mussa Assad, tunaomba ugombee urais 2025
Katiba ndo muongozo mama wa nchi na sio hizo sheria uchwara..katiba inasema nini kuhusu CAG??Sijui kizungu unajua?View attachment 1252961
Muhongo alitumbuliwa akiwa msibani.Hata Mwigulu alitumbuliwa akiwa kwny mbio za mwenge huko Kigoma,hahah.
Donors watucheki tu wanasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Muhongo alitumbuliwa akiwa msibani.
Uchaguzi wa serikali za mitaa tuu watu wanakatwa mapanga, akigombea urais wachawi 900 kutoka gambbosh watamwacha Kweli?2020 itapendeza
Huyu huyu Prof Assada aliyeenda kuhojiwa huku amevuliwa viatu na mkanda wa suruali ndo awe rais wetu?acha kutdhalilisha watanzania wewe, Chadomo mpeni uenyekiti wa chama chenu basi asimamie ruzukuProf. Mussa Assad, tunaomba ugombee urais 2025
Huyu naniliuuu mbona alishafungwa kamba kwa kichaa akiwafundisha kina Aaron Manota Lufungulo pale Sengerema?Huyu huyu Prof Assada aliyeenda kuhojiwa huku amevuliwa viatu na mkanda wa suruali ndo awe rais wetu?acha kutdhalilisha watanzania wewe, Chadomo mpeni uenyekiti wa chama chenu basi asimamie ruzuku
Hatakiwi mtu mwenye uwezo mkubwa(competent), anatakuwa mtu mtiifu kwa mamlakauko sahihi 100%, ila huyu aliye teuliwa hatoshi icho kiti.tunamfahamu uwezo wake mdg maana kashapewa nyadhifa kubwa akashindwa mudu