Prof. Mwandosya ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA

Prof. Mwandosya ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
1660897780455.png
 
photo_2022-08-19_11-23-46.jpg


========

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark James Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA). Prof. Mwandosya anachukua nafasi ya Prof. Jamidu Hazzam Yahaya ambaye amemalizia muda wake. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Agosti, 2022.

download.jpg
 
Back
Top Bottom