EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Huyu mzee wangempumzisha tu keshajichokea na afya imedhoofu, anakuja na mawazo gani chanya hapo EWURA hasa kipindi hiki cha bei za nishati kupaa duniani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli naona kuna tatizo, hivi mtu kama Prof Mwandosya anaongeza nini kwenye utendaji???? Kwani hakuna vichwa vingine Tanzania? Nadhani tunahitaji katiba mpya. Nafasi kama hizi ni bora wangepewa watu baada ya interview.Aisee!!? Hiv sifa za kuwa mwenyekiti wa hizo bodi huwa ni zipi?
Hahahaaa hao ndio wenye nchiHuyu mzee waangempumzisha tu keshajichokea na afya imedhoofu, anakuja na mawazo gani chanya hapo EWURA hasa kipindi hiki cha bei za nishati kupaa duniani??
CcM ni ile ileKwa kweli naona kuna tatizo, hivi mtu kama Prof Mwandosya anaongeza nini kwenye utendaji???? Kwani hakuna vichwa vingine Tanzania? Nadhani tunahitaji katiba mpya. Nafasi kama hizi ni bora wangepewa watu baada ya interview.
Hii ndio bongo raia hadi wa awamu ya 3 wanarudi kulamba asali. Vijana hili liwape akili kua ukondoo hautaleta mabadiliko. [emoji23][emoji23][emoji23]
Istoshe Uwenyekiti wa Bodi ya Taasisi siyo kazi ya ajira Bali ni kazi ya usimamiziKama vijana wenyewe ni kama akina Makonda, sabaya, Mnyeti, Muro, Ali hapi, Kheri James n.k bora tu hao wazee waendelee
Unamaanisha akiwa na degree tu ndiyo aweze kupewa uenyekiti wa bodi?Vijana mlio maliza chuo mtatembea na bahasha za khaki mpaka maji myaite mma
Ni walewale mpaka siku yesu anarudi
Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??View attachment 2328366
Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.
Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.
Mama kasawazisha.
Viva Mama Samia.
Magufuli alimtumbua kwa roho mbaya, mama kamrudisha.Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??
Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????
Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.
Kuna akina nyie ambao hamkupitia shida wakati wa Magufuli.Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??
Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????
Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.