Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mjinga ni wewe unayemdharau Prof Mwandosya ambaye mchango wake katika Taifa la Tanzania haubishaniwi. Pole sanaHuyo anaweza kusimamia nini? Ashajichokea hana lolote ni ujinga tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga ni wewe unayemdharau Prof Mwandosya ambaye mchango wake katika Taifa la Tanzania haubishaniwi. Pole sanaHuyo anaweza kusimamia nini? Ashajichokea hana lolote ni ujinga tu!
Uenyekiti wa bodi siyo ajira. Hizi nafasi mara nyingi hupewa wakongwe wenye busara na experince kubwa ya utumishi.Vijana mlio maliza chuo mtatembea na bahasha za khaki mpaka maji myaite mma
Huwa hajisifu kwa usomi wake wa kweli.Ana kitu gani adimu na kigeni kukileta kwenye utumishi wa umma huyu babu? Ulaghai tu wa kisiasa unaotafutwa kuungwa mkono na watu wa kanda ya nyanda za juu kusini hasa Rungwe anakotokea
Wewe mpuuzi tu anamchango gani huyo mzee? Alitaka kuwa Rais yakamshinda ni kundi la wazee wanafiki wasiojitabua!Mjinga ni wewe unayemdharau Prof Mwandosya ambaye mchango wake katika Taifa la Tanzania haubishaniwi. Pole sana
PHD ya Mwandosya imeleta nini hata huko Mbeya ambapo ni majumba ya tope na mji kama zizi!Huwa hajisifu kwa usimi wake wa kweli.
Kina Mwigulu waliopata PhD za kuunga unga, kutwa kujisifu.
Vile vile ni Mwadilifu sana.
Asante kwa kutafsiri kwa kiswahiliView attachment 2328299
========
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark James Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA). Prof. Mwandosya anachukua nafasi ya Prof. Jamidu Hazzam Yahaya ambaye amemalizia muda wake. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Agosti, 2022.
View attachment 2328277
Mwandosya alikuwepo hata wamu ya Pili.Hii ndio bongo raia hadi wa awamu ya 3 wanarudi kulamba asali. Vijana hili liwape akili kua ukondoo hautaleta mabadiliko. 😂😂😂
Acha ujinga wewe kila kitu kina wakati wake,amekuwa Serikalini toka mwaka 1980 kitu gani kipya ameleta?She is doing good, you can't leave intellectual man like prof. M . J . Mwandosya out of the system. Nchi hii Iko matatizo mengi wanazuoni kama hawa tunatakiwa kuwa tumia vema kwenye kutoa ushauri mbali mbali kwa Taifa.kongole kwake mama yetu
Mjinga familia Yako, huwezi kutoa maoni Yako bila kutusi wengine! Maoni yangu so Lazima ya fanane na Yako. Wambie wakuteue wewe uliyeenza kazi jana. Mwanakwenda weweAcha ujinga wewe kila kitu kina wakati wake,amekuwa Serikalini toka mwaka 1980 kitu gani kipya ameleta?
Nyumba yenye tope jingi ni ile ya mkuu wa mkoa, fika uojionee.PHD ya Mwandosya imeleta nini hata huko Mbeya ambapo ni majumba ya tope na mji kama zizi!
Miozaliwa awamu ya tano mnashida sana!!!Mwandosya alikuwepo hata wamu ya Pili.
Kaa nchi ilivyokuwa ya Chato, Mwigulu kaapishiwa Chato huko!Nchi inakua kwaajili ya watu flani hivi.
Mwadilifu mtu mwenye kiburi, kujikweza, majivuno na dharau?Huwa hajisifu kwa usomi wake wa kweli.
Kina Mwigulu waliopata PhD za kuunga unga, kutwa kujisifu.
Vile vile ni Mwadilifu sana.
Unampuuza usiyemjua. Nenda UDSM kaangalie machapisho yake na kahesabu wahitimu wa electrical kwenye kitivo ambao amewadindisha. Ila sidhani kama unanielewa maana JF Ina mbumbumbu wengi piaWewe mpuuzi tu anamchango gani huyo mzee? Alitaka kuwa Rais yakamshinda ni kundi la wazee wanafiki wasiojitabua!
Vijana ni vifutuVijana ni mafisadi
Ila wazee wastaafu wanaiba kwa hekima!!Vijana ni mafisadi